Jamani naomba kufahamishwa tangazo la kutuma maombo nafasi za masomo wizara ya afya kwa waliomaliza kidato cha nne linatoka lini maana naona mda unazidi kuyoyoma!
Naomben msaada juu ya activation code ya theft tracking software (mGuard) kwenye tecno T611 Maana website walioitoa kwaajili ya activation ( deximobile.com) haipo active. Au kama kuna maujanja yeyote ya kui"crack naombeni waungwana pia nikipata software nyingine itakayofanya kaz kama mGuard...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.