Naiman JF itanipa mmoja wa kweli na wa haki "someone special to wipe to tears off" .... Kwa Mara ya kwanza akipatikana wa kweli na haki hapa wana JF watasimamia kuanzia maandalizi mpaka ndoa na itakua ni JF SPECIAL COUPLE
Kwa mujibu wa sheria ya fedha unapokopa unapaswa kulipa endapo utakwama kulipa kwa mfululizo miezi 3 utakua umevunja mkataba na Mali ulizoweka dhamana zitakamatwa na dalali alieteuliwa na taasisi husika Kwa kukupa notisi ya siku 14, endapo mwajiri ndio mdhamini wako na ukafukuzwa kazi au kampuni...
Wapo ambao wana tatizo hilo tena ni watoto warembo sana na ni watoto wa madoctor ni wamekuwa wakitumia dawa za kila aina labda angekuja mtaalamu aweze kuwapa tiba ya kweli iweze kuwasaidia kiukweli hili ni tatizo wapo wengi nimewakuta na hili tatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.