miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Aisee sema nimekuzid.saaaaana na 37
Thanx for ur concernAisee sema nimekuzid.saaaaana na 37
Habari wadau, Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikiishi peke yangu na sasa natangaza rasmi nahitaji mke humu ndani nipo Mwanza nina 30yrs nimeajiriwa nahitaji mwanamke anayejitambua asiwe mnene nahitaji awe na umbo la wastani umri asinizidi at least awe miaka 27 kushuka chini kabila lolote dini yoyote.
Kama unahitaji mume ni PM namba yako nitakupigia
walaa ucpate shida nipo kwaajili yako
Mh! Ar u serious?
yes am serious
Kwi kwi kwi kwi kwi ucjali ndo tunaanza kujileta hvyo
Ruwako mangi Mosha nkiki, instruction yeke amba kuda.. Follow instructions bana
Nipo njoo
As I say, pm ur number then I will make a call, if things goes well w'll c the JF Couple.I & U
Haya Anna Mosha naona mnaongea kikwenu msinisahau kwenye kamati ya maandalizi
Teh teh teh teh mkuu, utatuwakilisha.
Nyehunge lazima uhusike kwenye kamati maana bila wewe hawawezi kwenda ukerewe MV NYEHUNGE ndo itawapeka honeymoon wakale huko ukerewe. Nasubiria majibu sijui ameshapata sijui bado MHASIBUMKUU tujuze tuanze kujipanga.