Recent content by Mhanga_78

  1. M

    Inawezekana Magufuli sio tatizo?

    Acha mbwembwe Raisi alienda kusalimia na kumjulia Hali Yule shehe na sio swala kwamba alienda kustukiza. Kina mama ndio waliomzoazoa njiani na kumpeleka wodini ashuhudie aliyoyaona. Acheni ushabili.
  2. M

    Nyumba aliyoishi Kikwete Singida, funzo kwa wasomi

    Mtoa mada amechemka. Kwa wakati huo hiyo Nyumba ilikuwa ya hali ya juu.
  3. M

    Kwanini mchina anatangaza bidhaa zake kuliko mjapani?

    Ulaya nayo inamadaraja. Mfano unaweza kuikuta ZTE Poland na Hungary lakini sio Norway au Sweden
  4. M

    Wake za watu wamekuwa dili siku hizi, tatizo nini?

    We jamaa umenivunja MBAVU. DUH. BALAA SANA
  5. M

    Magufuli ana cheo gani CCM

    Kazi kweli kweli.
  6. M

    Nawe ni mtumiaji wa neno LOL? Soma hapa

    Laugh out Loudly... Hiyo maana nyingine anayoleta Mshana Ni Porojo
  7. M

    Nimekutana na binadamu wa ajabu alfajiri hii

    Una maana gani aliingia darajani?... Alizama darajani, alipita kama wewe ulivyopita Au? Sijakusoma
  8. M

    Kuna watu hufa mara mbili

    Nina mashaka na madaktari wetu wanaotoa maamuzi kwamba sasa huyu mtu amekufa... Kuna jamaa alikurupuka kutoka kwenye fridge na kuingia mtaani anafahamika hapa mjini kwetu... Na ni mzima hadi Leo....
  9. M

    Picha: Huyu ni nyoka wa aina gani? Nimemuua hapa home

    Sasa mambo ya wachawi umejuaje na wewe aisee? Au unahusika?
  10. M

    Utaratibu wa foleni za magari Ferry sio mzuri

    Kila mtu akichomekea then WHAT?
  11. M

    Mnisamehe ila sitawasahau waarabu wa ISIL

    Very well elaborated... Pamoja sana..
  12. M

    Raia waua mwanajeshi Mbeya

    Mwenye makosa ni mwanamke aliyeamua kumegwa na wote... Wanaume tuwe tunatafakari tunapofumania wake/wachumba zetu... Na sio kukurupuka
Back
Top Bottom