Acha mbwembwe Raisi alienda kusalimia na kumjulia Hali Yule shehe na sio swala kwamba alienda kustukiza. Kina mama ndio waliomzoazoa njiani na kumpeleka wodini ashuhudie aliyoyaona. Acheni ushabili.
Nina mashaka na madaktari wetu wanaotoa maamuzi kwamba sasa huyu mtu amekufa... Kuna jamaa alikurupuka kutoka kwenye fridge na kuingia mtaani anafahamika hapa mjini kwetu... Na ni mzima hadi Leo....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.