Anaandika DC HANANG
Nimeona mijadala mingi inaendelea kuhusu Mbunge Mhe Mery Nagu na katibu wake kuwekwa ndani na DC.
Ni kweli Wamewekwa ndani kwa:-
1. kufanya mikutano ya kuhamasisha wananchi kwamba ziara za DC hazina tija wananchi wazikatae na amezipiga
marufuku.
Nimekuwa nikifanya...
Wapendwa poleni na majukumu.
Hivi kweli focus vikoba inatoa mkopo online? Au ni njia ya kuwatapeli watanzania?
Nimepigiwa simu zaidi ya mara moja wakinisisitiza kuweka akiba yangu ya sh 1mil ili wanipe mkopo wa 10mil mpaka sasa nakosa cha kuwajibu msaaada wenu plz
leo niliingia mtandaoni nikakuta hilo tangazo nikajaza fom na baada ya muda walinipigia simu kunitaka nitume pesa kiasi cha sh milioni moja ili nipate milioni kumi lakini moyo wang ulisisita san nkamwomba niwatumie asubuh kesho duhhh kumbe ni matapeli asante mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.