Recent content by mgulu

  1. mgulu

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Kiongozi haipungui Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mgulu

    Nichukue gari ipi?

    Watu8 Nipo upcountry then nina family ya two kids
  3. mgulu

    Nichukue gari ipi?

    NICHUKUE IPI HAPO????
  4. mgulu

    Nichukue gari ipi?

    Wakuu naombeni mnisaidie nataka kununua gari, sina uzoefu wa aina yoyote wa magari. Ushauri wenu muhimu sana.
  5. mgulu

    Wataalamu wa afya naomba msaada

    Itakuwa ya uzazi wa mpango
  6. mgulu

    Namtafuta madam Milka Mahuna

    ..
  7. mgulu

    Wakazi wa Morogoro ni kweli Puma AG (Kampuni ya vifaa vya michezo na mavazi) wana kiwanda huko?

    Mazava ipo opposite na saohill morogoro kwenye ile ghorofa ufu ya waziri wa fedha wa zamani
  8. mgulu

    The SGR War: MagufuliKagame vs MuseveniKenyatta ni Vita Kubwa!. Who Will Win, Loose or Its Win Win Situation?.

    Vita vya Panzi furaha kwa Kunguru... Wache wapigane huku wanatuletea Neema
  9. mgulu

    Weeder Mashine Ya Kupalia Mazao Shambani inauzwa

    Nitakucheck mkuu
  10. mgulu

    Naomba nisaidieni niweze kurudisha Ajira yangu ya Utumishi wa Umma

    Ndugu#kilambimkwidu.. Nilifanya hivyo kwa kupata ushauri kutoka kwa mwajiri wangu mpya ( kwa bahati nilivyoenda kwenye halmashauri mpya nilikutana na Hr ambayo alikuwa kule Mimi nilipokuwa) akanielekeza niombe kutumia check number nikafanya hivyo, nakukumbuka hadi batch namba walinipa ila sasa...
  11. mgulu

    Naomba nisaidieni niweze kurudisha Ajira yangu ya Utumishi wa Umma

    Mkuu nilienda pale utumishi wakanishauri niandike barua ya kuajiriwa upya nikiambatanisha barua ya ajira ya kwanza (ambayo sikuwa nayo maana niliondoka kabla ya barua hazikutoka za ajira) nikashindwa kufanya hivyo.
  12. mgulu

    Naomba nisaidieni niweze kurudisha Ajira yangu ya Utumishi wa Umma

    Nashukuru kwa ushauri wenu bado nahitaji ushauri zaidi
  13. mgulu

    Naomba nisaidieni niweze kurudisha Ajira yangu ya Utumishi wa Umma

    Salaaam wakuu!! Mimi nilikuwa mwalimu wa shule ya msingi katika halmashauri moja mkoani Pwani, katika harakati za kuangaika nikatoroka nikaenda kusoma baada ya kumaliza shule sikurudi kazini likapelekea kuondolewa kwenye payroll (nilifutwa kazi) hii ilitokea mwaka 2012. Baada ya maisha...
Back
Top Bottom