isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,125
- 6,250
Wakazi wa Morogoro ni kweli Puma AG (Kampuni ya vifaa vya michezo na mavazi) wana kiwanda huko?
-
Kiwanda hicho kinapatikana maeneo yapi?
Wameajiri wafanyakazi wangapi?
Vibarua wangapi?
Wanazarisha tani ngapi za products kwa mwaka?
Office outlets zao zipo maeneo yapi?
Branch manager ni mTanzania au raia wa kigeni?
Wanatumia advanced machines au payroll script system?
-
Kiwanda hicho kinapatikana maeneo yapi?
Wameajiri wafanyakazi wangapi?
Vibarua wangapi?
Wanazarisha tani ngapi za products kwa mwaka?
Office outlets zao zipo maeneo yapi?
Branch manager ni mTanzania au raia wa kigeni?
Wanatumia advanced machines au payroll script system?