SIMBA: Sisi tusiojua soka ila ni mashabiki, tunaona simba inawachezaji wa zuri na imeimarika tofauti na misimu miwili iliyopita, pia kocha wao yuko vizuri kwenye mechi za kimataifa.
Mtazamo wangu ni rahisi sana SIMBA kutoboa hatua ya makundi kwasababu ya kocha yuko vizuri na wachezaji wapo vyema...
Sisi wenyewe tunautaratibu wetu humu ndani,tuna kina Moderator ,Active ko issue sio kufungiwa watu wamekosa roho za son.
Shame on them na ndomana Maxence Melo ameona Bora awaachie na ofisi Yao maana ni upuuzi huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.