Ndugu yangu ss wanadam yupo hapa dunian kwa malengo maalum na kubwa ni kumuabudu mungu na dini ndo njia ya mbinguni. Ushauri wangu kwako 1.acha uzinifu , kuwa mwanadini kisha oa. Mungu atakubariki.
mm najiuliza, hiv katiba ya cdm inasemaje juu ya hili? kweli inawezekanaje mtu kujiunga juzi na chama na leo kuchukua form ya urais hivi chama hakikuwa na mtu makini wa kugombea nafasi hiyo ? mbona tunazalilisha viongozi wetu wa cdm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.