Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Mkuu umetisha hiyo kitu (pesa) wacha tu, haina dini, kabila wala dhehebu
Hii kitu wengi hawaambiwi ukweli ila wanapewa visingizio vya dini, au kabila.
Angekuwa muoaji ni Rugemalila wangesema mchukue tu mtafunga ndoa huko huko.
Hahahahahaha!!!