Katika manispaa ya Iringa kuna kijito kinapita katikati ya mti na pembezoni mwake watu wamekuwa wanajishughurisha na kilimo cha umwagiliaji, sasa kuna jamaa amewahonga baadhi ya viongozi wasio waadilifu wakamruhusu ahamishe kijito hicho kipite kwenye barabara ya mtaa.
Wananchi wakagoma baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.