Recent content by mgolozi One

  1. mgolozi One

    jaman udom vip???

    wakuu tarehe 26, ila amna kinacho endelea. msaada kwa wanao kaa karib na chuo. Nendeni mkaulizie utaratibu vipi maana siku zina songa uku site ya Dom haileti update ambayo tunaitaka.
  2. mgolozi One

    jaman udom vip???

    sasa wakuu inamaana nasi hy tarehe 31 tutaenda uko chuo???
  3. mgolozi One

    direct fees

    hz nk ni zip, mm nasubir kuwa approved na chuo. admision latter cjafanikiwa kuipata na kipi kinachoendelea uko wakuu.
  4. mgolozi One

    Confirmation from Chuo

    ila majinq yet yalichelew kupelekewa chuo sasa cjui fatizo ili wamesha lirekebisha maaan sisi wa udom na udsm ndo tunasumbuliwa nacte ila vyuo vingine wao washa jua utaratib unakuaje, tukae kusid kuomb ili nacte watuurumie watufanyie utaratib nasi uwe sawa kama vyuo vingine.
  5. mgolozi One

    Waliochaguliwa udom kupitia nacte

    kwahiyo majna hayaja pelekwa chuoni hadi leo???
  6. mgolozi One

    msaada

    sema wanachelewa sana
  7. mgolozi One

    Tuwekane sawa kuhusu admission letters za Chuo Kikuu Dodoma

    bado hata hawajaweka. UDOM cjui wanalengo gani na sisi batch nyingine hata hawa weki
  8. mgolozi One

    Confirmation from Chuo

    mambo yashaanza kunoga nacte angalia profile yako kwa sasa.
  9. mgolozi One

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    Duuh..! kwann umesema hivyo kipusi?? sasa hao nacte & bodi ya mkopo wata mtabiria vipi mtu kama amaajir???
  10. mgolozi One

    Majibu ya mkopo ni vipi?

    mambo yote yapo on progress, usiwe na pressure kijana.
  11. mgolozi One

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    kipus we haujui kama mda umesha kwisha hadi sasa, vyuo vina hitaji maandaliz pia na bodi ya mkopo taarifa zetu watapata lini kama shughul yenyewe ndo hii ya kuendelea kusubiriii tyu kila wakat na je uchaguz mwak huu usinge kuwepo hii hali c wanafunzi wote tungebaki mwaka huu nyumbani maana vyuo...
  12. mgolozi One

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    j.3 tupande nacte wote. yani hadi kielewek kule kule
  13. mgolozi One

    NACTE mnatuchanganya

    majanga ndipo yanapo anzia, m nisha jitamba chuo naanza mwezi wa kumi na moja. leo mnanifanya niishi bila kuwa na matumain ya kuenda chuo maana chuo hakija toa majina kam nimekuwa selected au lah.!!!
  14. mgolozi One

    Third round application

    Udom iz too much, tumechok subir hizo round nyingine maana hata raha hatuna na kuwa approved hatuwi siku zote hizo tu.
  15. mgolozi One

    CAS, universty's approval mtasubiri sana

    sasa mfano UDOM wao hata hawajaweka majina tena zaidi ya wale wa kwanza?? hadi leo.
Back
Top Bottom