aviJR
Member
- Oct 1, 2015
- 77
- 6
Degree
Degree
Chuo gani?? Nacte au TCU?
Degree
Degree
Degree
Degree
Kwa wale ambao wamekosa vyuo vya afya diploma or certificate, but Wana Nia ya kwenda chuo mwaka huu pm namba yako kuna chuo kpo kinahitaj wanafunz kmechelewa kudahili
Duh...¡¡¡,
hata kama wakitubadilishia vyuo, watuambie mapema coz siku za maadaliz zimebaki chache yaan hapa nipo njia panda wadau
Duh inawezekana ukabadilishiwa chuo ulichopangiwa mwanzo kwa mtindo huu?
Hata mim, presha imepanda mpaka imeshuka,yaan sina ham,kwenye profile yangu ya tcu,wameniambia kuwa nimekuwa comefermed from my institusion for adimition, ki2 kinachonichosha zaid majina ya second batch yametoka, ila lakwangu halipo....
Inasikitisha sana ila cha msingi ni kuwasiliana na Nacte kama ulisha kuwa provisionally selected na hiyo selection hauioni ili kujua shida nini.
Sasahiv wameondoa selection ktk profile yangu, Hawa Nacte!!
Sasa mbona wanafanya classes Sasa!!? Niny profile inaoneshaje!?
Imerudi kama.Zamani NENO Selected Limetoka. Na Hii Imesababishwa na Sisi Kuwa Confirmed Tayari Kwahiyo NACTE tumeshaachana Nao.
Tunasubiri Bodi ya Mikopo
mambo yashaanza kunoga nacte angalia profile yako kwa sasa.
nimeona mkuu,naanza kujiona udom pale
Hiv tulioambiwa kusubir uthibitisho bado kuna uwezekano wa kukosa kwel?
nimeona mkuu,naanza kujiona udom pale
Jamani.nacte tujuzeni yanayojiri..majina hatuyaoni ktk vyuo mlivyotu select provitionaly..mimi ni mekuwa selected UDOM ila majina udom siyaoni na joining sijapata wadau hii ikojee
Sasa mbona wanafanya classes Sasa!!? Niny profile inaoneshaje!?