NACTE mnatuchanganya

NACTE mnatuchanganya

Samahan wapendwa endapo ukichaguliwa taarifa ya kuchaguliwa unatumiwa kwenye email au unangalia kwenye prof yang nisaidien mtanzania mwenzenu
 
Mimi Tayari Chuo Nilichochaguliwa WameConfirm ... Kwahiyo Chuoni Naenda..
 
Samahan wapendwa endapo ukichaguliwa taarifa ya kuchaguliwa unatumiwa kwenye email au unangalia kwenye prof yang nisaidien mtanzania mwenzenu

Angalia Profile hakuna Cha Email
. usidanganywe na Wanaosema Email
 
Halaf chuo hakijatoa majina kwny prf umeadikiwa selected leo haipo labda chuo kimekanusha kutupokea

majanga ndipo yanapo anzia, m nisha jitamba chuo naanza mwezi wa kumi na moja. leo mnanifanya niishi bila kuwa na matumain ya kuenda chuo maana chuo hakija toa majina kam nimekuwa selected au lah.!!!
 
Andaeni ada muende chuo... mmeshachaguliwa acheni kufungua fungua profile za nacte...
Hilo tatizo ni kwa sababu jana ni tare 16 wamefunga kupokea .maombi yoyote so kuna issue haijaenda sawa itakuwa...ila kama umepangiwa chuo haitobadilika
 
  • Thanks
Reactions: V2d
Rafiki yangu kasahau kujaza tarehe ya kuzaliwa na mwaka mambo mengine sawa ckui itakuwaje hivi inaruhusiwa kuwapigia katila namba zao coz washafuna hawez Ku edit
 
Nimeona wakuu wengi wanalalamikia nacte ipo ivi nacte wanatakiwa wajifunze kutoka tcu then ndio waanze mchakato wa kudahili wanafunzi kwa system zao,nacte ndio wanaanza udahili ila cha ajabu wanakua wa mwisho kutoa matokeo mbaya zaidi awasomeki mara profile ipotee mara irudi mara waongeze Muda wakati ata selection ya kwanza awajatoa nacte wanatakiwa wapumzike na kupewa train upya then baadae sana wafanye udahili wakiwa wameiva vizuri ubabaishaji utaisha,tcu first round mpaka third tushapata Lakini nacte mmmh Ni shida.
 
Jaman nacte nafungua profile yangu naona inakuja jina LA MTU mwingine kabisa yangu siioni wakati nilikua naingia Mara kwa Mara au wrote Leo iko hivyo
 
Back
Top Bottom