mgolozi One
Member
- Sep 16, 2015
- 34
- 2
Udom iz too much, tumechok subir hizo round nyingine maana hata raha hatuna na kuwa approved hatuwi siku zote hizo tu.
NIT wameshatoa selection for 2nd and 3rd round application.
UDOM Wanaboaaaaaaaaaaaaaaaaaaa saaaaaaaaana aysee.Udom iz too much, tumechok subir hizo round nyingine maana hata raha hatuna na kuwa approved hatuwi siku zote hizo tu.
Me mpaka nimegairi 2 kuangalia web yao..yan nyie mnaosubiri udom lazma mfe na ukimwi,,kuna wengne mtatoka batch ya 11 mwez wa kumi na moja trh 15,,kile chuo htr sana..
mbona kimya humu ndani...tcu nao hawataki kufungua web yao.
tupeane taarifa kama kuna chochote....
duh! aisee me nshakata tamaa caply tena 4th roundWeb Inafunguka Nw Tembelea Profile Yko Uone Kama Unechaguliwa Na 4th Round Ya Application Iko Waz Nw Had Trh 23 Oktb Kwa 2liokosa
Web Inafunguka Nw Tembelea Profile Yko Uone Kama Unechaguliwa Na 4th Round Ya Application Iko Waz Nw Had Trh 23 Oktb Kwa 2liokosa
Kuna dogo kachaguliwa lakini hawaoneshi chuo inakuaje hapo?
Website ya TCU ina malazi au ina ugonjwa gani? Toka jumamosi haipatikani au hacker washafanya yao?
Web Inafunguka Nw Tembelea Profile Yko Uone Kama Unechaguliwa Na 4th Round Ya Application Iko Waz Nw Had Trh 23 Oktb Kwa 2liokosa