Adui Bandia
Member
- Aug 13, 2015
- 91
- 58
Me nimechaguliwa 2nd round katika chuo cha udom(wait for approval) kwa mujibu wa my tcu profile, asa nimekwenda kwenye web ya udom kudowload admission letter cha ajabu index yangu na jina la mzazi wangu nikiingiza zinagoma. Naomba mniweke sawa ni mpaka watoe majina ya 2nd batch ndo naweza kuaccess au ni tatizo langu tu. kwa wale 2nd round udom na wenye ufaam wa hili niwekekeni sawa mwenzenu.