Siasa siyo fair game kama mlikua hamlijui, zitto aliingia kwenye siasa akiwa mtu wa kawaida tu, leo hii anaukwasi wa kutosha tu nyie mnajua, kaupataje? siasa ndo inalipa kihivyo?, mtu yoyote mwenye akili hawezi kumwamini mwanasiasa kwa asilimia 1oo%, lengo lao la kwanza ni kusaka kura wakipata...