Recent content by mgendayika

  1. M

    Waarabu kiasili ndio wavamizi wa ardhi ya Israeli na Afrika Kaskazini

    Kwa upofu wako wa historia, mbona hujaeleza asili ya Waarabu ni kutoka nchi gani na historia ya Kibiblia na kidunia inasemaje kuhusu chimbuko la Waarabu? Unasahauje kuhusu Ukweli wa kibiblia kuhusu Mtume Ibrahim (Abraham) na mke wake Sara na Hajar na watoto wake wawili Ismael na Is-haka? (...
  2. M

    HAMAS waanza kuomba vita viishe ili majadiliano yafanyike

    Na wewe kwa kutojitambua unashabikia uvamizi wa muda mrefu wa Israel kwenye ardhi ya Palestina...wakati huo huo bila shaka unalaani uvamizi wa Russia katika ardhi ya Ukraine!.... a double standards.
  3. M

    Upotoshaji mkubwa kuhusu udakaji wa penati wa jana wa Ally Salim, naleta uthibitisho

    Ni kazi bure...Hujaleta uthibitisho wowote hapo....Ila kila mtu aliona kilichotokea, na hata lile goli linalodaiwa kuwa off-side lilivofunga. lakini yote kwa yote ndiyo yameshatokea... tugange yajayo
  4. M

    Uamuzi wa Mahakama kuhusu DP World umethibitisha mahakama zetu haziko huru

    Mtu yeyote anayejinasibisha kuwa ni mjuzi zaidi wa mambo kuliko wengine, na asiyekubali hoja za watu wengine bali kushikilia msimamo wake binafsi hata kama hauna mashiko na unapingwa na wengine wengi, na anayetishia kuhamasisha vurugu, ghasia na machafuko katika jamii kwa kisingizio cha...
  5. M

    Kuwa kiongozi wa michezo ukakwepa siasa huo ni undezi, Kitenge Mwijaku na Zembwela wanauzika vibanda vya kahawa

    hOJA ZA KITOTO KABISA Hoja ya kuwanyanyapaa akina Kitenge kwa sababu tu wapo upande wa pili katika mjadala wa uendelezaji bandari ni kufilika mawazo au uzezeta wa kujitakia. Linapokuja suala la mjadala kila mtu ana uhuru na haki ya kutoa mawazo yake. Kuyakubali ama kuyakataa ni hiari ya mtu...
  6. M

    Bashe: Upinzani itendeeni haki Demokrasia mliyopewa, msitengeneze uhalali wa wahafidhina

    Hakuna anayedai kuwa viongozi wasisakamwe.... wasakameni sana kwa kujenga hoja mbadala zenye tija na faida kwa nchi yetu. Kisichopendeza ni kutukana na kusakama kwa kuutweza utu wa kiongozi... hiyo haikubaliki au kuvumilika hata kidogo. Hivi kwa mfano mzazi atamchukuliaje mtoto wake ambaye...
  7. M

    Ni kosa kubwa daktari kuwa Mkurugenzi wa Hospitali

    Well responded to! Tuwaache professionals wajiendeshe na kujisimamia wenyewe!
  8. M

    "Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala

    Unless hujui maana ya utumwa! vinginevyo bora kajisaidie ukalale mapema.
  9. M

    "Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala

    The answer is crystal clear....athari za 'Mfumokristo'. Kwao Uarabu ni ugaidi, siasa kali, Al-kaida nk, ndio maana hata katika mambo ya dhahir kama aliyejenga majengo ambayo sasa ni ikulu ya Magogoni na hospitali ya Ocean Road hawataki kuamini kuwa ni Waarabu. Majengo ya Ikulu yakiwa ni chuo cha...
  10. M

    Mnaomshauri Rais juu ya Ikulu mpya Chamwino muogopeni Mungu

    Jamani ikulu zote dunia zinahitajika kuwa self sufficient kwa mahitaji yote muhimu. Kumbi za mikutano, migahawa au hoteli kwa ajili ya wafanyakazi, makazi ya rais na wafanyakazi muhimu ambao ni wasaidizi wa rais, kwa kutaja kwa uchache! Ikulu ni taasisi inayojitosheleza kwa kila kitu katika...
  11. M

    Fikiria haya kuhusu mchezo wa Yanga na Monastir majibu baki nayo mwenyewe

    Hakuna kitu kibaya kama kupatwa na mtindio wa ubongo na taahira ya akili! Jitu na bichwa lake linapost thread ya uzuzu!
  12. M

    BAKITA acheni upotoshaji, Decoder ni King’amuzi, Transmitter ni Kisimbuzi

    C&P Tunapohama kutoka analojia kwenda digiti neno 'king'amuzi' limeshamiri sana. Ndipo majuzi kupitia Radio One kwenye kipindi cha lugha ya kiswahili Jumamosi waendesha kipindi wakawa wanajadili haya. King'amuzi ni detector. Mfano vile vibao vinavyotumika kupapasia sehemu za vizuizi na kwenye...
  13. M

    Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    ACHA kukaririshwa! ungetembelea Mkuzo usingediriki kusema mji haujatanuka.
  14. M

    Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

    fikra finyu na potofu....kama ungetaka si ungeenda kuomba kazi Radio Maria au Upendo TV?
  15. M

    Mwendokasi zinajaza sana, zinadhalilisha utu wetu

    NI ukweli mtupu ulioyanena. Hii huduma imeachwa huria mno! Kuna kila sababu za kudhibiti na kusimamia. Kama aliyepewa dhamana ya kutoa huduma ameshindwa kukidhi mahitaji, wadau wengine wenye uwezo waruhusiwe kutoa huduma sanjari na wao, ili kuleta ushindani na ufanisi.
Back
Top Bottom