Recent content by mgemamkwezi

  1. M

    Ester Bulaya aitosa CCM, asema hawezi kuhonga

    la kuvunda halina ubani, jembe linaachana na magamba
  2. M

    Mbatia: Mgombea tutamtangaza baada ya siku 5 Au 6

    Upepo ukemlazimisha mkuu wa kaya kulazimisha kumpitisha POMBE ambaye hana mzizi na uzoefu wowote katika chama caha magamba. Hajui fitina za magamba. Kwa fitina zilezile, mkuu wa kaya kageukwa na mtu wake kipenzi kukatalia (Membe). Fitina zilezile, eti Jnuary, Migiro na Amina bora kuwazidi Pinda...
  3. M

    Sasa kumekucha uchukuaji fomu za Ubunge, Wasanii wajiapiza

    Kama urais ulivyorahisishwa, Ubunge hivyo hivyo, isipokuwa safari hii wataingia makamanda wengi ambao ni wakombozi, wale wasanii wa mipasho na masharobaro wa magamba ni vigumu kupenya katika tanuri la uchaguzi linalokuja.
  4. M

    Wananewala tumwogope mtu huyu kama ukoma, CCM ufisadi kila mahali

    CHAZA wanamtwara na gesi yenu mtakuwa mmefanya makosa makubwa sana kumchagua mbunge kutoka CCM kutokana na mlivyopigwa mabomu, kuteswa na kuuawa kutokana na kudai haki ya gesi yenu ichakatuliwe na kusafirishw kwenu badala ya kupelekwa kwa baba RIZ Bagamoyo.
  5. M

    Taarifa ya uchukua, kurejesha fomu na kura za maoni CHADEMA

    Set standard for other parties to follow including the GAMBAS
  6. M

    Kituo cha Polisi Ukonga Stakishari chavamiwa na Majambazi

    Nape amethibitisha kuwa sasa hivi mtutu utaelekezwa kwa Mzee Kingunge
  7. M

    Kituo cha Polisi Ukonga Stakishari chavamiwa na Majambazi

    Mhanga wa kwanza ni DR Nchimbi, amenyimwa fomu za kugombea ubunge Mbinga, amejaza fomu za kugombea ubunge Songea, fomu zake hazikupokelewa
  8. M

    Kituo cha Polisi Ukonga Stakishari chavamiwa na Majambazi

    Wale jamaa wa kazi waliovamia kituo cha polisi sitaki shari, baada ya kukamilisha kazi ya uharamia na mauaji, mwenzao mmoja pikipiki yake ilimletea gozigozi ikagoma kuwaka. Wenzake kuona hivyo, wakamusha kwa kummiminia risasi kwa kuona kuwa naye anawaletea gozigozi. Kuna tofauti gani na...
  9. M

    Nape: Wanaotoa kauli za kukigawa chama tutawashughulikia

    CCM wameshakuwa kama mashetani yaliyofanikiwa kutoka katika chupa, yana harufu ya damu, yananyonya hata damu za ndugu zao bilahuruma
  10. M

    Yanayojiri bungeni Dodoma leo 08 Julai 2015

    Majembe hayawezi kulamba matapishi, hiyo ni aibu yao
  11. M

    Ilani ya CCM 2010-15 Imebaki miezi miwili, Itatimia?

    Na maisha bora kwa kila mtanzania yametimia au wizi bora kwao (Escrow)?, wanabukoba meli yenu mpya mliyoahidiwa mnakabidhiwa lin?
  12. M

    Humphery: Mimi siwezi kuhama chama changu CCM

    Huyu jamaa namkubali sana lakini kukiri kuwa hawezi kukihama chama cha mafisadi na akikiri kila siku kuwa rasimu ya katiba iliyokuwa imebeba masuala yote muhimu yaliyopendekezwa na wananchi yamenyofolewa na manyang'au hao hao CCM ni unafiki na uzandiki.
  13. M

    UVCCM/Makonda hawajampiga Jaji Warioba

    Kwa kuishiwa mbinu na mikakati mipya ya kisasa ya kujenga chama chenu, mnaiga mbinu zile zile za baba zenu za kihalifu za kupiga watu hadharani mchana kweupe na kisha mnakuja na mbinu za kitahaira za kujitetea eti hamhusiki, Mwangosi alisambaratishwa na bomu mbele ya kamera, baba zenu wakadai...
  14. M

    UVCCM/Makonda hawajampiga Jaji Warioba

    Wewe na wenzako akina Makondakta mnazidi kukitokomeza kaburini chama chenu kwa kubuni mbinu chovu za kuzuia mafuriko ya mabadiliko ambayo kwa hali yoyote hayazuiliki.
Back
Top Bottom