Kama wanafanya ndio ajira sio sawa ni tatizo maana hata wao wenyewe betting wanasema beting isiwe kama ndio chanzo cha kipato, ila shida wabongo hatujali tahadhari kama matangazo ya pombe yanavyosema unywaji pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako.....
Kuna nchi zimehalalisha uzalishaji wa bangi na zipo mbele kimaendeleo zaidi yetu sisi, ili mradi iwekwe clear lengo lake. Kwa hiyo kama ww haubeti sawa waachie wanaobeti wajaribu bahati zao maana kuna ambao hawabeti na wapo ovyo sana kiuchumi kuliko wanaobeti
Kama kilikuwa kimepimwa na kilikuwa na mpaka Namba ya kiwanja tayari (Plot Number) na tayari umekiuza nusu, unapaswa uwaite tena wapimaji ili wafanyie amendment mchoro wa ramani ya hilo eneo wa awali ili waweze kutoa viwanja viwili kutokana na ukubwa wa eneo lililobakia. Baada ya hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.