Recent content by Mgango

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli

    Mwenye kuhitaji kuheshimiwa anapaswa kuanza kujiheshimu mwenyewe na kuwaheshimu wale wanaomzunguka nk. Zile kauli za bukoba na moshi zilikupendeza wewe? Uvunjaji wa dhahiri wa katiba kuhusu mikutano ya vyama vya siasa wewe unaridhika nao? Hebu tufike mahali kijiko tukiijua kijiko tu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Gwajima yuko very wrong kwa hili! Extremely wrong!

    Tunaongea mkono kwa lipi? Wenyewe wanadamu hawajatoa. Let them come forward and confess. Lakini pia mikataba ni mikataba suluhu ni kuwa renegotiate tu km alivyonegotiate prof sossy tunaangalia kulipwa 4% badala ya 3% za mwanzo and yet anatumia nje kama mbwa. Are we really serious?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mapya yaibuka: Maafisa wa TMAA walipewa hela ili Smelter isijengewe Tanzania

    Sawa. Lakini unadhani hayo yote yalikuwa yakitokea bila lile jumba kubwa kujua? Nini kazi ya tiss? Kufukuzana na ndoto za kina lema? Au kina lisu? U nazungumzia kujenga smelter Leo wakati madini yamekwisha? Hao pamoja na wateule wao wavuliwe kinga wafanye e made be kama wale wezi wa Kuku kisha...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Suala la madini Tanzania; Kanuni ya 'Wagawanye ili uwatawale' inafanya kazi

    Wakati hayo yakitokea alikuwa wapi? Or rather alikuwa chama gani na sasa yuko chama gani?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Suala la madini Tanzania; Kanuni ya 'Wagawanye ili uwatawale' inafanya kazi

    Huyo mwizi alijiteka? Aliingiaje kama Siyo kukaribishwa na hayo hayo ma ccm wenzako?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wanaosema ACACIA wako sahihi wamewahi kujiuliza hili swali dogo?

    Swala Siyo u sahihi wa hao jamaa bali tujiulize walioingia hiyo mikataba were they sane? What steps will be taken against them?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nini tafsiri ya madai ya Polepole, kwamba John Pombe Magufuli alitaka kuhongwa na Wahujumu Uchumi?

    Labda anamaanisha Prof Muhongo ndo maana kaondolewa madarakani. Otherwise ni wenyewe kwa wenyewe. Lakini hata hivyo huyo mtoto ni muongo sana na wala hayaishi yale ayanenayo
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nini tafsiri ya madai ya Polepole, kwamba John Pombe Magufuli alitaka kuhongwa na Wahujumu Uchumi?

    Huyo msemaji wao ni muongo sana unless a tuambie huyo aliyetaka kutoa hizo pesa ni miongoni mwao au ni mstaafu ambaye jina lake likitajwa chama kitaumbuka
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nini tafsiri ya madai ya Polepole, kwamba John Pombe Magufuli alitaka kuhongwa na Wahujumu Uchumi?

    Mpaka atakaporudi Bwana Yesu hapatatokea kiongozi mwadilifu hata mmoja. Hicho chama kimeoza kabisa. Hata wafanye je, waseme je.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli anahangaika na watanzania wasioipenda nchi yao na rasilimali zao

    Swala ni kuwa vyombo husika vilikuwa wapi wakati haya yakitokea? Au sensor zao ni active kwenye mikutano ya opposition parties pekee? Watawala walikuwa wapi? Nini kitafanyika kwa wahusika ambao tumeapa kuwatetea kwa nguvu zote?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Polepole: Walitaka kumhonga Rais Magufuli Sh. Bilioni 300 ili asifanyie kazi taarifa ya mchanga

    Whether it's grey or blue hair it does not matter. What matters ni nani anayeweza ku dare kumbribe a hos so much na akabaki salama? Unless he is one of his predisessors. Msituletee ya bash it kuhusu zile millions za shisha
  12. M

    JamiiForums Tanzania Sakata la madini: CCM kama chama hakina kosa

    Nadhani wewe ndiye utumbo tena ule wa nguruwe ambao ukilazimisha kuula ni lazima unapata minyoo isiyopona. Unaweza je kutenganisha hicho chama chako na BMW na kj2?How can you? Ameapa kuwalinda kwa nguvu zake zote tena kuliko anavyomlinda bash it. Tafuta gia nyingine ndugu hapo umechemsha
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Lowassa havai vazi rasmi la CHADEMA maarufu kama gwanda?

    Yanayohusu nini? Andaeni wanashida wa kwenda londoni kujibu madai ya macontainer
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri:Namna ya kudeal na ACACIA na makampuni ya madini na nishati kama nchi

    Yule msanii kijana ajayejifanya mwanamke na kulewa anaitwa nani? Unamfahamu? Eheee anaitwa joti. Unamfahamu?
  15. M

    JamiiForums Tanzania Sakata la Mchanga wa Madini: Mwanasheria wa ACACIA yuko London kufungua kesi

    Sasa kumekucha. Madeni ya std chtd Hong Kong (Escrow) tumeshamaliza kulipa?
Back
Top Bottom