Mwenye kuhitaji kuheshimiwa anapaswa kuanza kujiheshimu mwenyewe na kuwaheshimu wale wanaomzunguka nk. Zile kauli za bukoba na moshi zilikupendeza wewe? Uvunjaji wa dhahiri wa katiba kuhusu mikutano ya vyama vya siasa wewe unaridhika nao? Hebu tufike mahali kijiko tukiijua kijiko tu
Tunaongea mkono kwa lipi? Wenyewe wanadamu hawajatoa. Let them come forward and confess. Lakini pia mikataba ni mikataba suluhu ni kuwa renegotiate tu km alivyonegotiate prof sossy tunaangalia kulipwa 4% badala ya 3% za mwanzo and yet anatumia nje kama mbwa. Are we really serious?
Sawa. Lakini unadhani hayo yote yalikuwa yakitokea bila lile jumba kubwa kujua? Nini kazi ya tiss? Kufukuzana na ndoto za kina lema? Au kina lisu? U nazungumzia kujenga smelter Leo wakati madini yamekwisha? Hao pamoja na wateule wao wavuliwe kinga wafanye e made be kama wale wezi wa Kuku kisha...
Labda anamaanisha Prof Muhongo ndo maana kaondolewa madarakani. Otherwise ni wenyewe kwa wenyewe. Lakini hata hivyo huyo mtoto ni muongo sana na wala hayaishi yale ayanenayo
Huyo msemaji wao ni muongo sana unless a tuambie huyo aliyetaka kutoa hizo pesa ni miongoni mwao au ni mstaafu ambaye jina lake likitajwa chama kitaumbuka
Swala ni kuwa vyombo husika vilikuwa wapi wakati haya yakitokea? Au sensor zao ni active kwenye mikutano ya opposition parties pekee? Watawala walikuwa wapi? Nini kitafanyika kwa wahusika ambao tumeapa kuwatetea kwa nguvu zote?
Whether it's grey or blue hair it does not matter. What matters ni nani anayeweza ku dare kumbribe a hos so much na akabaki salama? Unless he is one of his predisessors. Msituletee ya bash it kuhusu zile millions za shisha
Nadhani wewe ndiye utumbo tena ule wa nguruwe ambao ukilazimisha kuula ni lazima unapata minyoo isiyopona. Unaweza je kutenganisha hicho chama chako na BMW na kj2?How can you? Ameapa kuwalinda kwa nguvu zake zote tena kuliko anavyomlinda bash it. Tafuta gia nyingine ndugu hapo umechemsha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.