Asante sana ndugu yangu, kwani umenigusa sana, mimi ni senior driver. Lakini nasikitika sana tena zaidi ya sana, hawa madereva wenye matendo kama hayo wanaisababisha fani yetu kuonekana sio taaluma kama taaluma nyingine, kama vile:- Rubani, Tabibu na n.k. Kama ulivyotangulia kusema kuwa:-salam...