Kwa nchi za wenzetu cruiser ship terminals uwa zinajengwa kule kama ocean road,eneo tunalo zuri tu ila shida engineers wetu wanaweza kushauri ijengwe pale posta
https://x.com/i/status/2060241295612826071 kunyan na wivu wao wanaumia mno,hapa tukiwaambia ya kuwa vitu vizuri vya TZ uwa vinawaumiza uwa wanakataa,kule x uwa wanasema ukweli
https://x.com/i/status/1951287044056982005 walivyo na wivu sasa,ukitaka kujua atukurupuki kama wao ndio hii,sisi tunajenga brt na kunyan wanaangaika kukopa ili nao wajenge brt,sisi tuna train ya umeme na wao wanataka tambo lao la chang'aa waliupgrade liwe la umeme,ile expressway iwapo ingejengwa...
Hilo zee mwaiofhawaii lina mchango mdogo sana kwenye jamii ya kikunyan,angalia comment zake humu ni kama mtoto wa miaka 5,angalia hii picha yake inaeleza kila kitu yuko vp 😂,ni lizee ila alijielewi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.