Hawa ukiwadekeza watataka hata airport ipelekwe kila wilaya,na bahari itanuliwe mpaka kibaha na sie wa huku madongo poromoka tupate urahisi wa kwenda zenj
https://x.com/i/status/2088176574344380858 milio inaanza mapema,kunyan ushamba mwingi hivi yan kumbe wanaamini uwepo wa refinery eti unapunguza fuel price
Endeleeni kuamini maendeleo ni gdp then mwaka wa 10 na kitu hata kuafford kipande cha reli naivasha to malaba,slums zinazidi kuongezeka,unmployment iko kwenye next level,wafua chupi za waarabu kule gulf kutoka ukunduni inaongezeka kwa kasi 🤣
🤣🤣 hawa wazee hata zile jbl earbuds za buku 5 pale kkoo watakuambia zina ubora,maskini nchi yangu inaangamia kwa kukosa maarifa,dr janabi kila siku anaongea kuhusu ongezeko la ugonjwa wa figo,yan walipata pa kuanzia kuzuia tatizo lakini ndio kwanza wanatoa go ahead maharamia wazidi kufyatua...
Mnatamani magu arudi mumpe GSM kesi kama ilivyotokea kwa manji,duniani kote mpira unataka pesa,sio pesa ikae bank eti halafu jukwaani utangaze unataka kubeba ubingwa wa afrika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.