Recent content by Mgagaa na Upwa

  1. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    🤣🤣
  2. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Hersi anahusika kutengeneza wahuni kwenye soka

    Na wale wanaokunya hadharani bila aibu walitengenezwa na nani?
  3. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Huyu harudii tena

    Baada ya kula pesa za huyo bwege,mpe hata kwapa alambe
  4. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Shabiki wa Yanga aliyemshambulia kocha wa Gaborone Utd akamatwe. Caf waifungie Yanga. Ushamba na upuuzi kama huu ni aibu kwa taifa letu

    Hapo ndio uwezo wako wa akili ulipofikia,ushindi wa jana wa Yanga umewauma vibaya mno!
  5. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Shabiki wa Yanga aliyemshambulia kocha wa Gaborone Utd akamatwe. Caf waifungie Yanga. Ushamba na upuuzi kama huu ni aibu kwa taifa letu

    Kampeni wanayoifanya kwenye hii michuano ya kimataifa ili Yanga isifike popote ni kubwa mno,ndio maana msimu uliopita Yanga walipeleka match zao zanzibar
  6. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

  7. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wapumbavu wa north wa humu acha tu roho ziwaume
  8. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Stade de lupaso hiyo iko on fire,huu uwanja nimekuja kugundua unawatesa sana kunyan baada ya kujenga lile sufuria lao
  9. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Aibu aisee 🤣
  10. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

  11. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Dar: Conrad Agonza Kayoza aliyeshambuliwa na Trafiki, kufikishwa mahakama ya Kinondoni leo

    Chawa maumivu yake hapo ulipo ayaelezeki
  12. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Dar: Conrad Agonza Kayoza aliyeshambuliwa na Trafiki, kufikishwa mahakama ya Kinondoni leo

    Kuna chawa wameumia hapo,hawajui tu mfumo uliopo unawabeba walio nacho,unakuta chawa povu linamtoka sababu ya buku 7 ya posho,dr mfumo umembeba sababu ya elimu yake ila hii ni haki ya kila raia,lile tukio angefanya mtu hoe hoe saa hizi tushamsahsu
  13. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume ameonekana kwenye Hitma ya Hafidh Ameir

    Story za kwenye vijiwe vya kahawa hizo
  14. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Dar: Conrad Agonza Kayoza aliyeshambuliwa na Trafiki, kufikishwa mahakama ya Kinondoni leo

    Kosa lake lina dhamana na huko mahakamani akishindwa kesi adhabu kifungo au faini,angekua hoe hoe kama ww chawa ndio ungeisoma namba,"jamani tusome" in dotto magari voice
  15. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume ameonekana kwenye Hitma ya Hafidh Ameir

    Zambia hapo kuna majibu yote
Back
Top Bottom