Kampeni wanayoifanya kwenye hii michuano ya kimataifa ili Yanga isifike popote ni kubwa mno,ndio maana msimu uliopita Yanga walipeleka match zao zanzibar
Kuna chawa wameumia hapo,hawajui tu mfumo uliopo unawabeba walio nacho,unakuta chawa povu linamtoka sababu ya buku 7 ya posho,dr mfumo umembeba sababu ya elimu yake ila hii ni haki ya kila raia,lile tukio angefanya mtu hoe hoe saa hizi tushamsahsu
Kosa lake lina dhamana na huko mahakamani akishindwa kesi adhabu kifungo au faini,angekua hoe hoe kama ww chawa ndio ungeisoma namba,"jamani tusome" in dotto magari voice
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.