Recent content by Mgagaa na Upwa

  1. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kq ina route karibia 6 kwa siku ndani ya TZ,nadhani muda wa kuanza kubana route zake umefika
  2. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    https://x.com/i/status/2088606451228934222 NBC premier league imekua gumzo afrika nzima,ligi namba 6 kwa ubora afrika
  3. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Hawa ukiwadekeza watataka hata airport ipelekwe kila wilaya,na bahari itanuliwe mpaka kibaha na sie wa huku madongo poromoka tupate urahisi wa kwenda zenj
  4. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    https://x.com/i/status/2088176574344380858 milio inaanza mapema,kunyan ushamba mwingi hivi yan kumbe wanaamini uwepo wa refinery eti unapunguza fuel price
  5. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Endeleeni kuamini maendeleo ni gdp then mwaka wa 10 na kitu hata kuafford kipande cha reli naivasha to malaba,slums zinazidi kuongezeka,unmployment iko kwenye next level,wafua chupi za waarabu kule gulf kutoka ukunduni inaongezeka kwa kasi 🤣
  6. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Rwanda wamewafikisha Mahakamani walioruhusu pombe haramu, je Tz tunasubiri nini?

    🤣🤣 hawa wazee hata zile jbl earbuds za buku 5 pale kkoo watakuambia zina ubora,maskini nchi yangu inaangamia kwa kukosa maarifa,dr janabi kila siku anaongea kuhusu ongezeko la ugonjwa wa figo,yan walipata pa kuanzia kuzuia tatizo lakini ndio kwanza wanatoa go ahead maharamia wazidi kufyatua...
  7. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Rwanda wamewafikisha Mahakamani walioruhusu pombe haramu, je Tz tunasubiri nini?

    Rwanda naiona ikifika mbali sana,nchi za ulaya zinaendeshwa kama hivi sasa
  8. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 bongo flavour, Dj ana kisa na Irene Uwoya na wenzie?

    Ikifika stage hii hata bure sitaki
  9. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Magori: Selemani Mwalimu mchezaji gani yule wa kumlipia Tsh. Bil. 1 kwa mkopo?

    Mnatamani magu arudi mumpe GSM kesi kama ilivyotokea kwa manji,duniani kote mpira unataka pesa,sio pesa ikae bank eti halafu jukwaani utangaze unataka kubeba ubingwa wa afrika
  10. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Sapraiziiii: Yanga yamsajili Selemani Mwalimu siku mbili baada ya kunukuliwa akisema ataichezea Simba Msimu wa 2026/27

    Sele jana alikua na akina duchu leo yupo na shalulile Maisha ni fumbo 🤣🤣
  11. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Makabila ambayo bora uwe single

    Nilikua na mchepuko wa kichaga,aisee yule bint ni mtata na hayupo romantic,anapenda pesa balaa na ajifichi kama yupo kipesa 🤣
  12. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    🖕
Back
Top Bottom