Recent content by Mgagaa na Upwa

  1. Mgagaa na Upwa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Jamaa wabinafsi na wanatuchukia mno,magu ndio alikua anaenda sambamba hawa
  2. Mgagaa na Upwa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tumewalomba kunyan
  3. Mgagaa na Upwa

    Jimbo la Isimani, Iringa tunasema Festo Kiswaga anatosha kuwa mrithi wa Lukuvi

    Kiswaga kwenye 1 na 2 ndani ya jf
  4. Mgagaa na Upwa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    So amahoro itaanda match 3 hadi 4 kwa siku 😂,hii afcon tunaanda peke yetu labda na uganda maana tayari wana viwanja 2
  5. Mgagaa na Upwa

    Waziri Mstaafu wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis: Vita bila mkakati ni upumbavu

    Huwezi kukuta muanglikana,mroma na mlutheli kwenye kuisapoti israel,wengi wanaosapoti israel ni makanisa mapya ya kilokole na ndio hao wanaleta sana mada za udini,mimi ni muslim kwetu karibu na kanisa la roma,miaka ile waislam tunafturu nje kuna masister hadi padri wao mzee lwambano walikua...
  6. Mgagaa na Upwa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Znz ni habari nyingine kwa sasa afrika na duniani kiujumla
  7. Mgagaa na Upwa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kunyan dose wanayopewa wameukimbia uzi kwa muda,wakirudi watakuja na maghorofa ya naikundu
  8. Mgagaa na Upwa

    Waziri Mstaafu wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis: Vita bila mkakati ni upumbavu

    Ukiona mbongo anapeperusha bendera ya israel kanisani kwake,kwenye gari yake au sehemu yoyote hawezi kukuelewa 😂
  9. Mgagaa na Upwa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    https://x.com/i/status/2036489894306980346 babu ngaji mwaiofhawaii utakua unaishi kama digidigi,ICE awacheki na kima
  10. Mgagaa na Upwa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hao wangese awakawii kuvuka border
  11. Mgagaa na Upwa

    Marekani kuwasilisha mpango wa Vipengele 15 Kumaliza vita, Iran yadai hakutakuwa na Makubaliano kamwe

    Hao marine wa marekani watachinjwa kama kuku,saddam aliivamia iran na askari zaidi ya laki wote jamaa waliwakamata,iran jeshi la ardhini ana watu kama milioni 4 hivi ambao wako timamu hasa
  12. Mgagaa na Upwa

    Series (Special thread)

    Poa mkuu
  13. Mgagaa na Upwa

    Donald Trump atangaza kusimamisha vita na Iran kwa siku 5 kuanzia leo

    Kama naiona bendera ya israel kwenye kibaiskeli chako cha kwenda kanisani kwako 😃😃
  14. Mgagaa na Upwa

    Donald Trump atangaza kusimamisha vita na Iran kwa siku 5 kuanzia leo

    Iran kwanza wamekataa ya kuwa hakuna makubaliano yoyote ya kusimamisha vita,wanachojua wao kipigwe tu hadi mmoja aombe poo,jamaa wajanja sana 😃
  15. Mgagaa na Upwa

    Series (Special thread)

    Pirates bay itakua wametoa episode 7 tu
Back
Top Bottom