Huwezi kukuta muanglikana,mroma na mlutheli kwenye kuisapoti israel,wengi wanaosapoti israel ni makanisa mapya ya kilokole na ndio hao wanaleta sana mada za udini,mimi ni muslim kwetu karibu na kanisa la roma,miaka ile waislam tunafturu nje kuna masister hadi padri wao mzee lwambano walikua...
Hao marine wa marekani watachinjwa kama kuku,saddam aliivamia iran na askari zaidi ya laki wote jamaa waliwakamata,iran jeshi la ardhini ana watu kama milioni 4 hivi ambao wako timamu hasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.