Anakupenda ndiyo hilo ni wazo la siku hujakosea, ila ya kesho na kuendelea hujui.Mungu akupe maono ya upande wa pili.Hujui unalotaka kuliteda nakusihi sana dhibiti hiyo tamaa yako juu ya huyo bwana mpita njia
Mawazo ni mwanachama wa cdm kama walivyo wengine ila alitoka kule magamba kwakuwa walimuzi aliona akiendelea kuwa ukoni nidhambi kubwa isiyo sameheka mbele ya mwenyenzi Mungu kwamaana uko magamba unatakiwa kuwa muongo mwizi tapeli wa mali za Watanzania wenzako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.