Recent content by mgaabe

  1. M

    Kufutwa kwa matokeo ya kidato cha nne 2012: Nani atawajibika kwa madhara yaliyotokea?

    Hii nchi inazid kuongeza maajabu ya dunia, sasa hivi nasikia kuna vyuo vikuu vimenzishwa havina hata wahadhiri zaid ya watatu, yan karibu wahadhiri wote ni wa kukod (visiting lecturers )
  2. M

    Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

    mi navvojua wakat wa kufanya mitihan ya mwisho hatuandik majina bali namba za mitihan na ivyo ni vigumu kwa wasahaiishaj kujua kama mtahiniwa ni muislam au mkristo na kama ingelikua ivyo basi mimi na kaka zangu tunsingefaulu kuingia chuo kikuu
  3. M

    Tafadharini iambieni serikali iwaachie uamsho,imwachie Ponda na Mukadam kwa salama ya nchi

    yan hizi ndio unaziita busara, wanaeneza chuki za din na kusababisha mauaji wakiwekwa ndan unasema watolewe ili kuleta aman... kwel na BAADHI viongozi wa wakristo wangekua wanahamisha chuk ungesema waachiwe..?
  4. M

    Askofu Mokiwa: Serikali irejeshe mali za Kanisa ilizotaifisha katika Azimio la Arusha

    na huna ndugu/rafik yeyote aliyewah kutibiwa kwao pia
  5. M

    Nilikosea sana kumkosoa kaka yangu alowahita CHADEMA genge la wahuni

    na wewe pia kama mwanachi ujue cha kuongea na cha kutoongea, yan hata mimi nisiye na chama nimekushusha thaman
  6. M

    Bungeni: Kkao cha kamati ya uongozi kimemalizika haya ni maazimio...

    tusilalamike sana kwan ujinga wetu ndo umesababisha tujaze wabunge weng wasio makin na HAYAWANI, NJIA ISIYO SAHIHI HULETA MAJIBU YASIYO SAHII PIA NA NDIO WABUNGE WENGI WETU WALIVYO
  7. M

    Lipumba: CUF itawawekea dhamana akina Ponda

    Na pale walipokua wanatetea haki ya dhamana (haki kikatiba) kwa shekh Ponda (muislam) (kupitia M.marando) walikua wanaendeleza ukristo au, tuache mambo ya udin sisi wote ni ndugu jaman
  8. M

    Lipumba: CUF itawawekea dhamana akina Ponda

    na walipokua wanadai/wanaomba shekh ponda apewe dhamana kama haki yake kikatiba ( kupitia M.Marando) walikua wanatetea mkristu ( yan sheh Ponda) au? wakat mwingne tuwe tunantumia hekma kabla hatujatoa mawazo yetu
  9. M

    Kigwangalla apinga Spika kuleta madaktari wa India Apollo, apingwa na wenzake!

    wakat lusinde anakuja bungen badala ya yule mzee nlifikir kutakua na jipya, yan ndo ameonyesha kwel yeye ni ma't..'ko
  10. M

    Sheikh Ponda akamatwa Dar!

    na ni hao hao wakristu ambao wanawahudumia watu wote ( wakiwemo waislam) katika mashule na hospital zao bila ubaguz na ni hao hao ambao hawajaenda kuchoma misikit (km ilivyotokea mbagala na zanzibar) wala nyumba za ibada za watu wengne ambao hawafanan nao kiiman
  11. M

    Sheikh Ponda akamatwa Dar!

    we utakua mmoja wao, kwann naww hujakaamtwa?
  12. M

    Wataka dini itambuliwe kama mhimili wa dola

    na hii inayojiita jumuia ya nchi za kiisilamu mbona hua haisaidii pale mmoja wa member wao anapoonewa na wengne wasiokua wanachama? mfano iraq, palestina, na sasa hata syria nchi ambayo mauaj yanasababishwa na nchi hiz zinazojiita mataifa mkubwa?
  13. M

    KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

    sio waumin wote wa kiislamu wanamsikiliza na kumfuata shekhe ponda s'babu wanamjua vzur
  14. M

    RPC wa Mwanza ACP Liberatus Barlow auawa na wanaodaiwa ni majambazi!

    sasa inabid polis wajigawe, wengne wakachunguze kifo cha RPC, na wengne waende mbagala kufatilia walioiba jenereta na kuharibu makanisa
  15. M

    RPC wa Mwanza ACP Liberatus Barlow auawa na wanaodaiwa ni majambazi!

    duh.... hawa jamaa wanajitafutia matataizo sasa
Back
Top Bottom