Recent content by MG255

  1. MG255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NAOMBENI USHAURI

    Hahahaha acha upuuzi, bado tu mpaka leo unalingia cheo na nafasi aliyopo baba yako? Sasa kama unadhani kwa cheo chako na nyadhifa ya baba yako hamna kitu unaweza fanywa mbona unakuja kutulalamikia humu kuhusu kusumbuliwa na huyo mdada? Kwanini usitumie cheo chako na yadhifa alio nayo baba ako...
  2. MG255

    JamiiForums Tanzania PIKIPIKI MBILI ZA MKATABA ZINAITAJIKA

    Mambo vipi mkuu, ebana vipi bado pikipiki zipo?
  3. MG255

    JamiiForums Tanzania Natafuta pikipiki ya mkataba kwa mtu aliopo maeneo ya Dar es salaam

    Habari zenu ndugu zangu, mimi ni kijana nilie maliza elimu yangu kwa level ya bachelor mwaka 2017, toka kipindi hicho nimejaribu kufanya vitu tofautofauti ikiwemo vyakujiajiri binafsi na vyengine vyakujitolea katika makampuni ila bado sijaona unafuu wa maisha. Nimeamua kufikilia zaidi namna ya...
  4. MG255

    JamiiForums Tanzania Natafuta pikipiki ya mkataba kwa mtu aliopo maeneo ya Dar es salaam

    Habari zenu ndugu zangu, mimi ni kijana nilie maliza elimu yangu kwa level ya bachelor mwaka 2017, toka kipindi hicho nimejaribu kufanya vitu tofautofauti ikiwemo vyakujiajiri binafsi na vyengine vyakujitolea katika makampuni ila bado sijaona unafuu wa maisha. Nimeamua kufikilia zaidi namna ya...
  5. MG255

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Viungo (Spices)

    Habari zenu wana Jf, napenda sana kufanya biashara ya viungo vya chai na vya chakula kama vile iliki, tangawizi, mdarasini nk ila changamoto nilionayo mpaka sana ni kujua ni maeneo gani vinalimwa kwa wingi ili niweze kwenda kufungasha moja kwa moja toka kwa wakulima . Pia nakaribisha mtu atakae...
  6. MG255

    JamiiForums Tanzania Project maalumu kuinua uchumi wa watanzania,Weka wazo lako la mradi hapa na ueleze umekwama wapi utafutiwe co-investor

    Uko wapi, nahitaji watu wakushilikiana nao katika kilimo kwakua wewe unalo shamba tunaweza zungumza jinsi yakushilikiana namba zangu ni +255 653 231 798 na +255 744 601 144
  7. MG255

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Freezer Inauzwa

    Yap lipo ndio
  8. MG255

    JamiiForums Tanzania Idea zipo mtaji hakuna hii inauma

    Kiongozi mimi ni mmoja wapo ninaetafuta watu wenye mawazo na tamaa za kujikwamua katika hali tuliyonayo , kama kweli umeamua tukutane tujue tunaanza vipi +255 653 231 798
  9. MG255

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Freezer Inauzwa

    Lini upo na nafasi ya kuja, nicheck kwa namba zangu hizo apo kwenye tangazo .
  10. MG255

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Freezer Inauzwa

    Nipo Kinondoni - Biafra Bei ni Tsh 300,000/= Kwa mawasiliano piga au tuma SMS kwa namba:- +255 653 231 798 +255 744 601 144
  11. MG255

    JamiiForums Tanzania FREM INAPANGISHWA

    Ipo Kinondoni barabara ya kutoka posta kwenda makumbusho. Ni ya nne kutoka barabara kuu ( barabara ya mwendo kasi) upande wa kushoto ukitokea makumbusho. Ni kubwa ndani na inafasi ya kutosha kwa nje kwaajili ya gari zitakazo ingia kuleta mizigo pamoja na parking . Kodi ni Tsh 200,000/= kwa...
  12. MG255

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Kabati za Aluminiam zinauzwa

    Nini mapungufu mkuu
  13. MG255

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Kabati za Aluminiam zinauzwa

    Nipo Kinondoni - Dar es saalam Zote kwa ujumla wake ni tsh 350,000/=
  14. MG255

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Kabati za Aluminiam zinauzwa

    Zipo mbili 1.La ukutani Urefu - futi 4 Upana - futi 1 Kimo - futi 3 Linegawanywa sehem tatu 2. La chini Urefu - futi 4.5 Upana - futi 1.25 Kimo - futi 3 Limegawanyika sehem mbili Kabati zote mbili kwa ujumla naziuza Tsh 350,000/= Na hivyo Vioo vya pendeni ni offer...
Back
Top Bottom