naliwe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 479
- 1,065
Mimi Ni mmiliki wa kampuni, nina vijana zaidi ya kumi ambao kazi zao ni za field , ivyo nilitaka kununua piki piki lakini katika michanganuo nikaona ni bola nitafute pikipiki za mkataba kwa sababu ghalama za pikipiki za mkataba ni ndogokuliko kwenda dukani kununua cash ivyo wana jf nakaribisha fursa hii kwa anaeweza kununua pikipiki anitafute tuongee malipo ni kwa mwezi na sio kwa siku
Tukishaingia mkataba tunakulipa pesa ya mwezi mmoja kabla yani kama mkataba kwa siku 10,000 tunakulipa kwa 300 000 kwa mwezi kwa miezi ambao tumekubaliana
Mikataba yote tunaingia kisheria maana kampuni imesajiriwa na inaleseni ya kuendesha biashara
Pikipiki zinazoitaka ni BOXER au TVS
KARIBUNI
Tukishaingia mkataba tunakulipa pesa ya mwezi mmoja kabla yani kama mkataba kwa siku 10,000 tunakulipa kwa 300 000 kwa mwezi kwa miezi ambao tumekubaliana
Mikataba yote tunaingia kisheria maana kampuni imesajiriwa na inaleseni ya kuendesha biashara
Pikipiki zinazoitaka ni BOXER au TVS
KARIBUNI