Acha kuandika kwa mihemko ofisi ya mkuu wa mkoa wa KILIMANJARO Jana, ilitoa utaratibu wa jinsi ya kuwaaga wahanga wa ajali ya same, na ilirudhwa kwenye taarifa ya Jana usiku na vyomba mbalimbali vya HABARI na mitandao ya KIJAMII .. acha kupotisha umma..
Umeongea maneno ya faraja sana japokuwa tushavurugwa akili,mwil na roho.Mm nnimeomba tangu tangazo 18/08/2021had hiz, jina linaishiaga usaili wa barrack, mkeka ukitoka hola.Acha nikawe mvuvi na degree yangu!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.