Grace, wacha nieleze kidogo kuhusu maneno ya Allah kuhusu Roho; Kwanza mimi nayakubali majibu ya Quran kwa asilimia zote. Sina wasi wasi hata kidogo na kuamini Qurani.
Pili, sasa wacha nieleze kuhusu Roho. Roho ni siri ya Allaah (‘Azza wa Jalla), hakuna ajuaye siri hiyo hata Mtume Wake (Swalla...
Sikiliza Chizi, ilo jina sijui kama utanielewa any way, sisi waisalmu tunakatazwa na Allah kupitia kwa Mtume wake Mwarabu aitwae Muhammad swalallahu Alaih waalih wasallam. Kwa hiyo kwa hili ni kosa kupaeana mikono na mwanamke. waziri huyu yupo sawa kabisa kwa 100%.
Soma hii hadithi...
GRACE NASHKURU KWA KUYAPOKEA MAJIBU NILIYOKUPATIA. SASA UNATAKA KUJUA MAANA YA KUFA. KWANZA KABISA KABLA YA KUJIBU SWALI LAKO NAPENDA UFAHAMU TU KUWA QURANI TUKUFU IMESEMA SAHIHI MNO KUWA KILA NAFSI ITAKUFA NDIO MAANA UNAONA SI MATAJIRI, MASIKINI, VIONGOZI NA WENGINEO WANAKUFA NI KWA SABABU YA...
HABARI DRACE GLORY, NAKUSHUKURU SANA KWA KUULIZA SWALI HILI KWA KWELI JIBU LA SWALI HILI NDILO LITAKALOKUFANYA UJUE UISHI VIPI HAPA DUNIANI. MAJIBU MENGI YA WALIOKUJIBU HAPO JUU WAMEKOSEA NA HUTAPATA MAJIBU SAHIHI KWA MUELEKEO WA MAJIBU NILIYOYAONA BALI UTAPATA MKANGANYIKO ZAIDI.
UKWELI USIO...
Sikiliza Wewe muabudu MIDOLI...Mnajipendekeza saaana kwa wayahudi lakini wao mayahudi hawakupendeni mpaka wanafikia hatua ya kukuueni.
Wakristo wa Tanzania pumbavu sana wenzao Duniani wanaandamana kumpinga Myahudi wao wanafurahia.
Wewe ndio pimbi, Ritz anachotaka kujua ikiwa kama kulikuwa na ushirikishwaji wa wananchi kwa MoU ya TEC na Serikali ambapo pesa za umma zinaenda kwa mapadre halafu hii wanaisumbua Serikali.
INNALILAHI WAINNAILAIHI RAAJIOUUN
Mkuu achana na haya Mambo. Tunayaona ya kawaida tu lakini ipo siku wala haipo mbali tutalia na kusaga meno tukijutia matendo yetu maovu tuliyoyafanya na hapo hakutakuwa wa kutupa msaada.
TAKE CARE.
Alhamdulillah, angalau sasa wananchi tunapata maneno mazuri, matamu kama asali, maneno yenye matumaini makubwa ya maendeleo ya taifa hili, maneno ya kumtoa nyoka pangoni....Mama Samia ... the voice of truth.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.