Recent content by MFIZIGO

  1. MFIZIGO

    Kujiunga vyama vya wafanyakazi ni hiari au lazima kwa mujibu wa sheria ya kazi??

    Soma sheria ya ajira na mahusiano kazini namba 6 ya mwaka 2004. Kifungu cha 72 kifungu kidogo cha 4. Wapinga trade union wengi hawakipendi hiki na hawakigusi kwa kuwaambia watu ukweli
  2. MFIZIGO

    Vitisho vya Chama cha Walimu Tanzania(CWT) dhidi ya walimu nchini

    Kuna vitu ambavyo walimu wanatakiwa waamshwe usingizini. Yani chama kiitwe chakuhawata alafu kiwe chama kabisa cha kutetea walimu kweli!!!? Walimu wapewe elimu ya vyama vya wafanyakazi, waambiwe kuwa vyama vya wafanyakazi ni zaidi ya hizo fedha zao wanazokatwa kwenye mishahara yao. Ukitaka...
  3. MFIZIGO

    Mwanza, Shinyanga na Musoma: CCM ikishinda uchaguzi ujao naahidi kujiondoa JF

    Hao wanafiki sana, walijidai sana kipindi cha mwendazake. Wanachukia nn sasa
  4. MFIZIGO

    Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

    Huyu hapa
  5. MFIZIGO

    Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

    Tusitafute watu waliopotea!? Kosa letu nn hapa, kumuulizia madam na hatujamwona siku nyingi!? Mbona mafala sana nyie watu
  6. MFIZIGO

    Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

    Kwamba si waziri tena!?
  7. MFIZIGO

    Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

    Wakurungwa salam, Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati. Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake...
  8. MFIZIGO

    CHADEMA, sasa twende na mfumo wa 1 by 3; tumechoka sasa

    Tumembambikizia Mimi na Nani!?
  9. MFIZIGO

    GE2020 Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

    Duh! Mapenz yakizidi sana huwa ufala wakati Fulani ujue
  10. MFIZIGO

    GE2020 Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

    Mwacheni ajifurahishe. Haijui Mbeya huyo
  11. MFIZIGO

    GE2020 Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

    Kwenye huu Uzi Kuna watu wapo masasi wanaripoti matokeo ya Mbeya mjini kiwapa watu presha tu
  12. MFIZIGO

    Zanzibar Nungwi kimewaka

    Adhana imelia saa 11:06!!! Shekh huo mtihani shekh wangu
  13. MFIZIGO

    2020 akishindwa sijui atakubali kutoka?

    Kweli ee
Back
Top Bottom