Recent content by mfereji maringo

  1. mfereji maringo

    Dawa gani sahihi ya kutokomeza majani shambani?

    Asalaam wadau wa kilimo! Naomba kujua ni dawa Gani ya kupuliza shambani ambayo inaweza kuwa mbadala wa kupalilia shamba ili kupunguza gharama za kusafisha shamba? Nimepanda miti msim huu wa kilimo, nimepanda miti ya Michenza Sasa majani yamefumuka hasa baada ya mvua kunyesha, Naomba wajuzi...
  2. mfereji maringo

    Mashine za kutengeneza tofali aina zote zipate kwetu

    Mkuu hii kwa Sasa ni bei Gani?
  3. mfereji maringo

    Shitukeni SUA hawauzi miche ya matunda ni wahuni wanatumia jina la SUA

    Tayari SUA wameshatekeleza wajibu wao wa kuwapatia elimu hao unaowaita matapeli, Ungetueleza umepata changamoto Gani kutoka kwa hiyo mzalishaji aliekuuzia Miche ili tujue tatizo ni Nini mkuu
  4. mfereji maringo

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Hapo usikute, mke Nae siku nyingi ana nahusuano, Sasa beki tatu imekua sababu ya kuvunja mahusuano ili awe huru kuingia ktk mahusuano mapya
  5. mfereji maringo

    Msaada, nimefungiwa kutumia WhatsApp

    GB whatsap ni kwa kulinda ndoa
  6. mfereji maringo

    Bandari mambo mazuri kuliko tunavyofikiria. DP World

    twasubiri mambo hayo mazuri barabara, umeme wa uhakika, reli ya kasi, maji ya uhakika n.k
  7. mfereji maringo

    "Mwanamke afanyiwe nini ili awe na utulivu, utii na upendo wa dhati kwa mwanaume wake?" Jibu limepatikana

    Mwanamke ana masikio matatu mwanaume jitahidi kumpa mwanamke maneno mazuri katika masikio yake mawili na zaidi anahitaji kuzibuliwa katika sikio la tatu mzibue kisawasawa utakuja nishukuru baadae
  8. mfereji maringo

    Msaada: app ya kuficha sms na calls katika iphone amani hakuna nyumbani

    Mimi sitaki wengi Maincheeck Na haka ka sideone Kananitosha
  9. mfereji maringo

    Msaada: app ya kuficha sms na calls katika iphone amani hakuna nyumbani

    Sio jina lake halisi I was just testing mitambo Yeye jina lake halianzii na “C”
Back
Top Bottom