Asalaam wadau wa kilimo!
Naomba kujua ni dawa Gani ya kupuliza shambani ambayo inaweza kuwa mbadala wa kupalilia shamba ili kupunguza gharama za kusafisha shamba?
Nimepanda miti msim huu wa kilimo, nimepanda miti ya Michenza Sasa majani yamefumuka hasa baada ya mvua kunyesha,
Naomba wajuzi...
Tayari SUA wameshatekeleza wajibu wao wa kuwapatia elimu hao unaowaita matapeli,
Ungetueleza umepata changamoto Gani kutoka kwa hiyo mzalishaji aliekuuzia Miche ili tujue tatizo ni Nini mkuu
Mwanamke ana masikio matatu mwanaume jitahidi kumpa mwanamke maneno mazuri katika masikio yake mawili na zaidi anahitaji kuzibuliwa katika sikio la tatu mzibue kisawasawa utakuja nishukuru baadae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.