Recent content by mfaume kidagaa

  1. M

    Leo treni ya mwakwyembe imekua club;ni hip hop kwenda mbela kwa sauti kubwa(50 cent)

    safi sana Mr Dijay maana Hip Hop ni chakula cha ubongo bwana ila jioni naomba uzicheze sana nyimbo ya nash mc,nikki mbishi,jcb,salu tee,kimbunga mchawi
  2. M

    Nafasi za Kazi BOT zaidi ya 50 - Apply now

    hahahaha tayari hapo watu wameshapata kazi wanazuga 2
  3. M

    Yaliyojiri Fiesta

    hahahaha huyu luge na kusaga ni noma sana wanachezea akili za vijana eti leo wanasema fiesta part 2 hahaha wajinga ndo waliwao bwana!!!ila nakukaribisheni new msasani club november 2 pale kilingeni kila kitu kitakuwepo kinachohusu HIP HOP
  4. M

    Ajira nchini Saudi Arabia: Vijana 91 wa Temeke, Dar es Salaam mnatakiwa

    Wazazi wa tmk kweli munakubali kupeleka watoto wenu kufanya kazi za utumwa!!Haya bana ila andaeni wakirudi muwapeleke hospitali maana sazani kama wataweza kukohoa
  5. M

    Kazi za ndani Saudiarabia: Abasi Mtemvu awataka wa Tanzania waende!

    hahahaha dunia kweli imekwisha mbunge mzima anapromote ubeki tatu!!wapeleke watoto wako huko katika hiyo fursa kama inalipa
  6. M

    Vijana 11 wakamatwa Mtwara wakiwa na Silaha za Kivita na CD za Al-Shabaab!

    hahahaha nyie sio kila mtu ni al shababa au alqaida hivo vikundi ni hatari sana msipende kuvitaja !!watu mmewakuta polini na mapanga mawili na viroba vya unga leo mnasema al shabab hacheni ubabaishaji bwana emu waulizeni wakenya ndo wanajua mziki wa alshabab!!!
  7. M

    Mjue gaidi SAMANTHA aliyeongoza AL-SHAABAB kuvamia na kufanya ugaidi westgate KENYA

    huyu mama mwenyewe atakuwa anasingiziwa kama alikuwepo kwa nini wasimkamate wakenya acheni ubabaishaji bwana!!
  8. M

    SUMU {chemical weapons} yatumika kumaliza El Shabab Kenya

    poleni sana ndugu zangu wakenya !!ila mkae mkijua kwamba na jeshi lenu nyinyi linauwa watu wasiokuwa na hatia kule somalia kwa kisingizio cha alshabab la msingi ondoeni majeshi yenu halafu tuone kama mtashambuliwa!!
  9. M

    Ugaidi Kenya - Picha kutoka eneo la tukio WestGate

    daaaaa ndugu zangu wakenya emu ondoeni majeshi yenu huko somalia!!!!Hao watu munaopambana nao hawaogopi kufa halafu nyinyi munaogopa kufa chonde chonde ondoeni majeshi huko somalia!!!
  10. M

    Tahadhari: Picha inatisha(MWIZI AKATWA MKONO NA KUAMBIWA AENDE ZAKE)

    safi sana kwa hiyo hukumu mfano kwa wengine!!
  11. M

    Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

    Picha ninayoipata ni kwamba kuna watu wako juuu zaidi ya nchi!!!!!
Back
Top Bottom