Hiyo kitu ndo napambana nayo saizi kwa mpenzi wangu. Mtoto wa kwanza alizaliwa kama ulivyosema na ana miaka 6. Changamoto ni mimba ya saizi. Amechomwa hiyo sindano moja, gharama ni laki 2. Walisema sindano ya pili mwezi huu wa tano gharama ni ileile laki 2. Na itakuwepo nyingine tena ya mwisho...
Hahhahaha!! Jamaa amekuwa na pisi toka mwezi wa saba leo ndo anakumbuka PEP. Atakuwa amevunja rekodi ya Guiness!! Mwambie asizunguke, apime tu ili ajue afya yake!! Hamna short cut hapo!!
Hakika bro. Issue inaanzia kwenye trust. Masuala ya project hata kama utaweka real ID bado kwangu itakuwa kazi. Nmependa sana hiyo project. Just imagine niko kwenye mikoa ya nyanda za juu kusini!!
Wasalaam wanajukwaa.
Kwa moyo wa unyenyekevu kabisa kuna Malegend wa muziki ambao wameiletea heshima nchi hii kwa miaka hiyo katika tasnia ya Muziki lakini bahati mbaya ukisearch Google huwezi kujua chochote walichofanya.
Mfano miaka ya kuzaliwa, namna alivyoanza mziki n.k. Lakini ni rahisi...
ELIMU YA AFYA KUHUSU U.T.I!! NA KAMA HALI HALISI NDIYO HII BASI KUNA UWEZEKANO WANAOPATA MAJIBU SAHIHI YA UTI NI ASILIMIA NDOGO SANA!![emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
MAJIBU ya UTI hayatoki ndani ya muda mfupi
By Kalunde Jamal, Mwananchikjamal@mwananchi.co.tz
Hali yako kiafya...
VIDEO: Fundi Mkuu wa MV Nyerere Alphonce Cherehani baada ya kuokolewa, inaelezwa alijifungia kwenye chumba toka walipozama huku mwili wake wote ukiwa umejaa oil. #MillardAyoUPDATES
VIDEO: Fundi Mkuu wa MV Nyerere Alphonce Cherehani baada ya kuokolewa, inaelezwa alijifungia kwenye chumba toka walipozama huku mwili wake wote ukiwa umejaa oil. #MillardAyoUPDATES
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.