Jamani naomba kutoa mada yangu kuna jambo moja linanisumbua naomba tulichangie kuhusu hawa vijana wetu wa siku hizi hawana maadili kabisa utakuta mvulana wa miaka kuanzia 20 - 25 nakuendelea anamtongoza mama mtu mzima age ya mama yake mzazi anaweza kumletea maneno ya kihuni au hawezi kuchukulia...
Hiyo ni kweli kabisa ulitaka angalia mfano wa watu au myu umjuae wewe ulinganishe na life style anahoishi unaweza kuona tofauti ikoje wewe utaona mwenyewe
Mkuu hayo yaliyoelezwa jf kuhusu mwanamke kiukweli wamambo wamelenga haswa kwa mtazamo wa kawaida nyumba yenye mwanamke anayejiamini inaonekana eti na yenye mwanamke poyoyo pia inaonekana. Sasa basi la maana hawa akina baba wangekuwa makini kuwajali wake zao na kuwaheshimu ili na hao akina mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.