kila la kheri ndg zangu...nawatakia mfungo mwema tuombeane kheir In Shaa Allah
amina sheikh!!!
kila la kheri ndg zangu...nawatakia mfungo mwema tuombeane kheir In Shaa Allah
Unafiki Mtupu! Tunamjua Mungu KINYAKATI Tu.
Kama wewe unamjua Mungu ki nyakati ni wewe ndugu....Tubu na Kuiamini Injili....
Kwa Resma Njema..........(Leo niko na moody ndo maana niko cool)..vinginevyo
Toa Kwanza Hilo Pepo Ktk Huo Mbichwa Wako.
Kwaresima inaanza Leo kwahiyo tunakila sababu ya kumshukukuru mungu
KUPITA KIMYA HAUWEZI KAMA UNAJUA KUKAGUA SANA SIUFUNGUE DARASA LAKO HUMU NDANIkbm tafadhali weka bandiko lako kwenye paragraph