Du! Yani nimepita hapo kwenye mkuyu nikaona taxi ikiwa ikiwa 'full light' imepaki pembeni ya barabara na mtu mmoja akiwa chini, polisi mmoja na mtu mwingine aliyevaa kiraia. Haikuwa rahisi kutambua kama mtu alikuwa ameuawa.
Du! Yani nimepita hapo kwenye mkuyu nikaona taxi ikiwa ikiwa 'full light' imepaki pembeni ya barabara na mtu mmoja akiwa chini, polisi mmoja na mtu mwingine aliyevaa kiraia. Nilivyoona (huku naendesha gari) haikuwa
Matokeo Kijiji Cha Kigarama, Kanyigo, Nkenge (Kagera)
Urais
CCM: 382
Chadema: 342
Udiwani: sijapata kamili ila mgombea wa chadema amemzidi wa CCM kwa kura 61
Kijiji cha nshuma naambia slaa kamzidi JK kwa kura 8, na kwenye udiwani wa CCM amemzidi wa chadema kwa kura 12.
"Ubunge - wameairisha...
Mgombea ubunge kwa tiketi ya TLP jimbo la Nkenge anaombwa kujitoa kwa kuwa jina lake limewekewa bendera ya UDP badala ya TLP. Hivi ninavyoleta habari vikao vinaendelea kumshawishi ajitoe. Mgombea huyu Wiliam Kweyamba ndie anaepewa nafasi kubwa ya kushinda katika kinyang'anyiro hicho
tutaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.