Mgombea ubunge kwa tiketi ya TLP jimbo la Nkenge anaombwa kujitoa kwa kuwa jina lake limewekewa bendera ya UDP badala ya TLP. Hivi ninavyoleta habari vikao vinaendelea kumshawishi ajitoe. Mgombea huyu Wiliam Kweyamba ndie anaepewa nafasi kubwa ya kushinda katika kinyang'anyiro hicho
tutaendelea kuwaletea habari.
tutaendelea kuwaletea habari.