Recent content by metallica

  1. metallica

    Mgawanyiko mkubwa ambao haujawahi kutokea umebisha hodi Tanzania

    Nyallandu ni moja ya "Liabilities" tu katika hii nchi, wala hajawahi kuwa "Asset"...He's as corrupt as many of his contemporaries.
  2. metallica

    Ya Zanzibar Wapinzani walipinga kilichotokea Kenya wapo Kimya

    Mahakamani hakuna haki ndugu, kuna SHERIA...Sheria na haki ni vitu viwili tufauti.
  3. metallica

    Inawezekana kweli kuna deal haramu (kwa mujibu wa UN) la silaha kati ya Tanzania na North Korea?

    Wajibu wako unaujua? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. metallica

    Nchi wafadhili zizuie misaada na mikopo kwa Tanzania,hali ya utawala wa sheria ni mbaya

    Wewe RAIA wa wapi? Bila shaka ni mamluki Sent using Jamii Forums mobile app
  5. metallica

    Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

    Siyo kweli kwamba Jet engines zinaruka ktk outer space, kwa sababu aina hii ya engines huhitaji oxidants (oxygen) toka kwenye hewa nje ya engine...Rocket engines ndo zinaweza kuruka ktk outer space kwani zenyewe hubeba fuel pamoja na oxidants kabisa,hazihitaji hewa ya kutoka nje.
  6. metallica

    Haya wale wa mzumbe university(BAF PS&BS)

    First class zinapatikana,lakini usisome kwa utumwa kisa unataka first class coz u may end up in total frustration...the important thing ni kuwa na GPA nzuri, play your part as much as you can, let God take care of the rest.
  7. metallica

    Shuka mpya za kimasai bei za jumla

    Wapi hizo? (Contacts)
  8. metallica

    Haya wale wa mzumbe university(BAF PS&BS)

    Soma acha woga kijana...hakuna maisha rahisi.Ukiwa serious utafaulu vema, ni discipline na determination tu. Nasi wenzako tumepita hapo,omba Mungu akupe afya njema tu.
  9. metallica

    Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

    Inamaana hujui kuwa papa ni agent wa anti-Christ?@Chemtrail
Back
Top Bottom