Siyo kweli kwamba Jet engines zinaruka ktk outer space, kwa sababu aina hii ya engines huhitaji oxidants (oxygen) toka kwenye hewa nje ya engine...Rocket engines ndo zinaweza kuruka ktk outer space kwani zenyewe hubeba fuel pamoja na oxidants kabisa,hazihitaji hewa ya kutoka nje.
First class zinapatikana,lakini usisome kwa utumwa kisa unataka first class coz u may end up in total frustration...the important thing ni kuwa na GPA nzuri, play your part as much as you can, let God take care of the rest.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.