Recent content by mesha mwaki

  1. M

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    jaman dogo anahitaj ashauriwe hata kuhusu upatkanaj wa ajra, naona siku hiz kila anaesoma egm anasoma archtecture pale ardhi na izo brn wataajirika wote hawa? kasome education chuo chochote unachokiona kzur kwako
  2. M

    Nafasi za kazi Zimamoto hizi hapa

    haupo serious ww, deadline 30th june leo 16th july et ujarb bahat yako, hio ela ya bahasha na kutumia posta jipoze ata na chips mayai apo, hio ya zima moto ishakushnda subiria mwakan
  3. M

    Nchimbi, Sophia Simba na Kimbisa wasema hawakubaliani na Uamuzi wa Kamati Kuu(CC)

    c anakubalika na wamasai monduli, aende akagombee ubunge tena asione aibu
  4. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    wale wa kanda ya ziwa mpooo..? njoo bunda-mara nije mikoa ya iringa, njombe au mbeya idara sekondari, issue za halmashaur tutaangalia, shule ipo karb kabsa na town, ncheki kwa 0655714111,
  5. M

    Matatizo ya St. Joseph Arusha campus

    we serotherapy nataman sn uwe unasoma udsm lkn sitaman hata kidogo uwe unasomea ualimu, hua wa2 wa dizain kama zenu za kutumia mda mwng kusifia chuo hua hamfundish na co wote ila wa dizain ka yako, nataman uwe unasomea PSPA ili baada ya kumalza mwaka wa 3 tukutane tena huku jf, FUNZO...
  6. M

    Mapema Leo hii

    cha msingi tusimbishie kwanza ila atoe source of information ila ka amelala ameamka kaamua kuandika na ndo tabia yake bas ile cyber crimes kuna siku itamkumba
  7. M

    Ajira za ualimu zimetoka lakini SEKOMU Hakimo

    hao viongoz wa sekomu hawawez kukwepa lawama kwa hili, mkuu wa taaluma hajafanya kaz yake ingekua mm ngeomba atafute kazi nyingine ikiwa ni pamoja na biashara na kilimo, mtu mzima hovyo
  8. M

    Tarehe ya kuripoti kwa waalimu wapya

    uongoz wa hicho chuo wamefanya utoto sijapata kuona, yan kupeleka majina ya wahitim 2013 wakat walitakiwa 2014? au ndo scandal inatengenezwa tamisemi wapate sabab?
  9. M

    Marekebisho yanayofanywa yataathiri vituo ambavyo watu wamekwisha pangiwa?

    nahusika sana na hii mada, asiehusika na kama hana majib bora akakaa kimya tu kuliko kufanya kidding kwa kila k2
  10. M

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    kuhusu mjin/kijijin sijajua mkuu, nimeambiwa tu bunda dc
  11. M

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    nawaona tu mnacfia ata hamtoi ubaya wa baadh ya maeneo, et hakuna vijij vilvo mbal na mjin, kweel? bro angu anafundsha nyasa lake shore sec ipo matema ni beach kabsa ila nyumba za kupanga zenye umeme ni chache sn na mboga ukchelewa kununua ambazo ni samak kwa wing kuanzia asbh ad sa5 asbh ndo...
  12. M

    Ajira mpya za Walimu wa Sekondari zasitishwa kwa muda ili kurekebishwa

    wameanzaaa, nshaprint apa wacntanie, heshma ako mwalim chichimizi
  13. M

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    kama unatoka mikoa ya joto bas uku ndo kwenyew
Back
Top Bottom