Matatizo ya St. Joseph Arusha campus

hayo matatizo ya st Joseph nadhani wapiganaji wakubwa ni mwaka wa pili, mwaka wa kwanza wengi wako nyuma na wengi wao ni watazamaji wachache tu ndio wanaotoa ushirikiano maana kuna baadhi ya jamaa zangu wanasoma mwaka wa kwanza hapo wengi hawako chuo na wale wanaokaa maeneo ya jirani kama moshi tayari wako nyumbani na wengine wanadiriki kusema mgomo ukiisha wataniita.Sasa sijui wanafkiri nani awapiganie haki yao cha msingi mnaoendelea kupigania haki msichoke

ww mwaka wa pili hawapo chuoni walifunga wote hawapo tuliobaki ni mwaka wa kwanza ndo tuliogoma mwaka wapili wana likizo hawapo chuoni
 
we unao sema mwaka wa pili ndo wana husika una uhakika gan kwanza mwaka wanpili wote wako likizo tuko sisi first year tu
 
hayo matatizo ya st Joseph nadhani wapiganaji wakubwa ni mwaka wa pili, mwaka wa kwanza wengi wako nyuma na wengi wao ni watazamaji wachache tu ndio wanaotoa ushirikiano maana kuna baadhi ya jamaa zangu wanasoma mwaka wa kwanza hapo wengi hawako chuo na wale wanaokaa maeneo ya jirani kama moshi tayari wako nyumbani na wengine wanadiriki kusema mgomo ukiisha wataniita.Sasa sijui wanafkiri nani awapiganie haki yao cha msingi mnaoendelea kupigania haki msichoke

waliondoka mwaka wa kwanza ni wachache tu wengi tupo tunasubiria hatima yetu na walioenda bungeni wote ni mwaka wa kwanza mwaka wa pili hawapo chuoni walifunga
 
sawasawa maamuzi magumu kama hayo ndio yanayotakiwa maana hata mkirudi wengi watashikishwa kesi na kufukuzwa chuo

yani ss hatutaki tena kurudi st joseph huo ndo msimamo wetu mpaka sasa na hela waturudishie laki 7 tunalipa kwa mwaka huo c unyonyaji
 
Jaman humu kuna watu wanafkilia kwa kutumia makalio ndo maana wanazani na ss tulio letwa kimakosa huku st joseph arusha tuna marks ndogo.
 
Acheniii uongo etiii udsm watuu wana four hahahhah nyie mngeenda hata SUA kama mngekuwaa na marks nyingi za PCB semaa hamjachelewa muapply upya st joseph kombakomba la division three mmepaniki wakati ndo ukweli hahahhah TCU application zipo on fanyeni kuapply na three zenuizoo alafuu mkose hata hicho st joseph marks zenu ndogo bhanaa

We serotherapy ww ubongo wko auko xawa..itakuchukua muda mref hadi uwe na akili ww..Bul all in all pole xana
 
we serotherapy tukupelek mirembe huo ni usenge wa kuchangia mada ucyojua km makc zetu ni tatzo tcu wangetupanga kuj kusom chuo? thnk twice mpuuz we
 
we unayesema tatizo ni marks za form six unamanisha kuna vyuo vinavyochukua waliofauru vzr na vingne vinachukua ambao hawaja fauru vizuri kuwa ja heshima
 
we serotherapy nataman sn uwe unasoma udsm lkn sitaman hata kidogo uwe unasomea ualimu, hua wa2 wa dizain kama zenu za kutumia mda mwng kusifia chuo hua hamfundish na co wote ila wa dizain ka yako, nataman uwe unasomea PSPA ili baada ya kumalza mwaka wa 3 tukutane tena huku jf, FUNZO: USIMUONGELEE VIBAYA MTU MWENYE TATZO UNAPASWA KUMFARIJI, shame'on u
 
we serotherapy nataman sn uwe unasoma udsm lkn sitaman hata kidogo uwe unasomea ualimu, hua wa2 wa dizain kama zenu za kutumia mda mwng kusifia chuo hua hamfundish na co wote ila wa dizain ka yako, nataman uwe unasomea PSPA ili baada ya kumalza mwaka wa 3 tukutane tena huku jf, FUNZO: USIMUONGELEE VIBAYA MTU MWENYE TATZO UNAPASWA KUMFARIJI, shame'on u

mkuuu hajielewi huyooo
 
Back
Top Bottom