Recent content by Meru Moja

  1. M

    Yaliyojiri Jijini Arusha: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dk. Magufuli – Oktoba 6, 2015

    Mgombea wa ccm John Magufuli amefika mto wa mbu asubuhi na kushindwa kufanya mkutano kutokana na watu kutokuwepo,wachache walimzomea mpaka mabomu kupigwa. Monduli mjini alifika Akakuta magari mengi badala ya watu,ila aliwekewa mikono na wazee wa kimasai walioandaliwa pale na pia alizungumza...
  2. M

    Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

    lowassa anatisha kweli
  3. M

    Lowassa ana bahati sana, sababu Magufuli hafai

    juzi kati tu magufuli alipokuja zakhiem mamantilie wote walizuiwa kufanya biashara zao sasa Hugo anajipya gani kwao
  4. M

    Rasmi: CCM yafutika Monduli nzima!

    Upo sawa kamanda.. Nchi imetikiswa na Lowassa
  5. M

    Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Wanamabadiliko. Nachukua fursa hii kumpongeza katibu mkuu wa CDM Dr Slaa kwa kuukuza upinzani nchini. Dr Slaa na Lowassa ni watu wawili wanaofanana ktk matumizi ya media kama njia ya propaganda. Kuna kaukweli kuwa DR hakuridhika na ujio wa homeboy wake yaani Lowassa kitendo ambacho...
  6. M

    Updates za zoezi la uandikishaji vitambulisho vya kupigia kura kwa Mkoa wa Dar es salaam

    yani uku Mbagala zoezi limeamza saa nne na nusu hivi sijajua itakuaje
  7. M

    Kanda ya Ziwa vs Kaskazini

    Ni kweli kiongozi mambo yatachafuka tukiendelea kuliongelea hili
  8. M

    Hotuba ya Zitto Kabwe - Julai 04, 2015 na Orodha ya walioweka fedha Uswisi

    akuna jipya apo anatakiwa ajipange sana
  9. M

    Mke wangu ana kadi mbili za kliniki, moja jina langu, lingine la bwana mwingine!

    jichunguze kwanza ww unagobore au una SMG.utapata uwamuzi Wa kufanya
  10. M

    Zitto awashambulia watangaza nia wa CCM

    ww unatumika na nani
  11. M

    Video: Angalieni unyama wa Green Guard kwa Mgombea Urais Dr. Kalokola!

    yeye kwanini alienda? inaonekana yy mwenye vurugu
Back
Top Bottom