Recent content by merina23

  1. M

    Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

    Umeorodhesha matukio kibao ya uhalifu hapa juu. Tuambie kati ya hayo ni mangapi jeshi lilifanya kazi yake na tukajua wahalifu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele ‘Maslahi ya Taifa’?

    What is the end product of seeking truth if not telling it. Hahaha going with it to your grave?? Halafu kusema ukweli na kuangalia maslahi ya Taifa haviendi sambamba kila wakati. Chagua moja kama ni kusema ukweli sema ukweli kama ni maslahi ya taifa ni maslahi ya taifa. Na tunajua wengi...
  3. M

    Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

    We nae. umekaa kututisha tisha tu. Khaaa!! Hebu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

    Wewe ndo uache kuota ndoto.. mara ngapi serikali inafungua kesi kutuhumu watu na inang'ang'ana lakini wanakuwa hawana evidence za maana Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Tuliopata Mafanikio mbalimbali awamu ya Rais Magufuli tukutane hapa

    [emoji30] unaishi Tanzania wewe?? Wanaobomolewa nyumba kila siku bila amri ya mahakama ni majambazi?? Wanaolazimishwa kutoa magari yao ili mkuu wa mkoa atembelee ni jambazi?? wanaotekwa kwa nyimbo wanazoimba wamezoea ofa bar? SMH Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Mimi Deogratius . N. Kisandu nimechoka kupotoshewa kila jambo, sasa naweka wazi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Sheria za mtandao zimefia wapi? Ona huyu dada anavyopiga picha za uchi

    Ulikuwa kchwan mwangu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Sheria inayotamka kutaja hadharani makosa ya Rais ni ipi hiyo na ni ya mwaka gani?

    Hahahaha fruits of his lips?? Ati whaaaat? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Sheria inayotamka kutaja hadharani makosa ya Rais ni ipi hiyo na ni ya mwaka gani?

    Sio baba yako akikosea... baba yako wa kambo akiwa anawatesa inabidi uwaambie wadogo zako ili waelewe. Na wao wataelewa pale ambapo ukishawaambia mateso ya baba wa kambo anakupiga mikanda na kukulaza stoo. [emoji23] CHECKMATE Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Tundu Lissu ni wakala wa 'Economic Hit Men' au Mzalendo?

    Everyone wants their share of the country's cake.. but i'd rather see another one eat than the same old one Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Sakata la Ndege iliyokamatwa Canada: Tundu Lissu akamatwa na Polisi kwa kumkashifu Rais. Anyimwa dhamana

    Right channels my foot. Since when does the oppressor want news of his oppression out??[emoji30] Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Sakata la Ndege iliyokamatwa Canada: Tundu Lissu akamatwa na Polisi kwa kumkashifu Rais. Anyimwa dhamana

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwakweli wakulipe disturbance allowance. Na fidia ya wastage of time for more than 20 years Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Nahitaji ushauri, mke wangu hana uzazi

    Nadhani pale kanisani kwenye kiapo cha ndoa kuna kipengele kinatakiwa kiongezwe.. tukipata au tukikosa watoto[emoji36] Sent using Jamii Forums mobile app
  14. M

    Nahitaji ushauri, mke wangu hana uzazi

    Wewe una mtoto Mpaka useme mkeo hazai?? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. M

    Msaada: Series za mambo ya siasa na ujasusi!

    1. Designated survivors tops my list 2. House of cards... hii sio ujasusi ila ni all political games 3.Homeland 4. Blacklist.... hii haina politics sana 5.Tyrant .....kama we ni mwanaume kwa mi mwanamke iliniboa mapema 6. Fearless. ...Hii ni Mpya kabisa ni ya law.. politics na...
Back
Top Bottom