Recent content by merie

  1. M

    PPF wamenza kuita watu usaili wa Oral

    Mungu awatangulie wote mliobahatika kuchaguliwa tena kwa mara hii ya pili. Mzidi muomba awasimamie tena kwa hii ya pili. ila kwa bahati mbaya sijatumiwa msg kwa hii ya pili ila Namshukuru Mungu hata kwa experience Niliyopata kwa mara ya kwanza.
  2. M

    PPF wamenza kuita watu usaili wa Oral

    Mungu awatangulie wote mliobahatika kuchaguliwa tena. Mshukuru Mungu na azidi wasimamia tena kwa mara hii ya pili! Kwa bahati mbaya sijatumiwa msg kwa hii ya pili ila Namshukuru Mungu hata kwa experience aliyonipa ya kwanza!
  3. M

    PPF Waanza kuita watu

    Amen Ahsante
  4. M

    PPF Waanza kuita watu

    Kwahiyo tunapewa computer kila mmoja. ? Plz msaada
  5. M

    PPF Waanza kuita watu

    Ahsante, ulifanya written. ?
  6. M

    Updates za Railway Children

    Hahaha ni kweli ndugu. Yaaan kazi hizi we acha tu. Ila tutapata tu
  7. M

    Updates za Railway Children

    Dooh jamani mi nlikuwa nasubilia najua bado hawajaanza ita watu. Looo
  8. M

    Nafasi za kazi Dubai

    Jackson john wewe ni biggie maana nna best yangu big anaitwa hivyo. Tukija kwenye hoja yaan ur completely right siku hiz ktk ajira watu wanafanya utapel sn. Yaan kukosa ajira kwa watu wao ni furaha. Further more wanajua sasahiv kuna ma graduates wengi sana mtaan kwa hiyo wanafanya kila mbinu...
  9. M

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    Sio subra wala nn. Ni kutafuta kaz sehem nyingine km kwel mtu ukiitwa poa. Ila tusitegemee MCB tu. Maana nilienda hapo Ofisin kwao mara mbili, yule mama anasema kuwa wao km MCB hawajatangaza nafasi. Hao kina Mwesiga sijui ni matapeli. Km ushaur tusijiumize vichwa maana hapa ni utata na...
  10. M

    TRA wametoa Nafasi za Ajira

    Habari wanajamii. Watafuta kazi wenzangu, mimi nami niliforwadiwa huo ujumbe kwenye whatsup ya kazi za Nmb. Nikabidi nimuulize kaka yangu yupo makao makuu. Ni kwamba hamna kazi hizo nmb walizotangaza. Watu wanawachezea watu. Wametunga hizo msg na kusambaza whatsup. Ni kama ile iliyotokea ya...
  11. M

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    Au yule mama tunaemkutaga pale MCB hajui chochote jmn
  12. M

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    Jmn uhuuuuu kichwa kinauma.
  13. M

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    Mimi ni msoma magazeti binkwa we Dik ni gazet gani walitoa hizo nafasi si km kwenye zoom tu
  14. M

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    Wewe chief nawe km hujui sema uelekezwe maana mimi mwenyewe nipo mwanza na jana nikienda hizo ofisi tarajiwa za MCB na nilijibiwa kuwa hao watu ni matapeli. Cha kujiuliza hiv km hao watu ni matapeli je hao wenye MCB wapo wapi kuchukua hatua. Ni utata mtupu
Back
Top Bottom