Recent content by Mercy

  1. M

    Je tuhahitaji tena Ze Utamu?

    Ahaaaa, sasa napata picha kwa nini Mwanakijiji na Mwafrika wa kike walijishaua kipindi kileeeee, kwamba wameahirisha kuziweka picha hadharani. Mwanakijiji it's pity kwamba i have to connect you with this scandal kwa 95% you know why? Kwanza una chuki binafsi na CCM, na vile JK ni CCM, na kila...
  2. M

    In DEFENCE of LOWASSA (Warioba & Butiku on it)

    Na kabla ya kikao cha Bunge, alienda kuonana na Rais Kikwete kuhusu ripoti ya tume (kwani alishaiona tayari).Alitaka ripoti isisomwe kwani ingemuumbua, kumbuka Rais ndiye aliunda tume ichunguze kashfa hii. Guess what?????? EL Akamwambia JK, mheshimiwa Rais, "Kama itawezekana, kikombe hiki...
  3. M

    Mizengo Pinda Waziri mkuu!

    You made my day lol!
  4. M

    Ni Lowasa ama Waziri Mkuu?

    Rejea Kashafa ya Richadmond dhidi ya Lowasa (Aliyekuwa Waziri Mkuu). Is it my understanding kwamba Lowasa ameachia madaraka ya Uwaziri mkuu kwa sababu kashfa ya Richadmonds inamgusa yeye kaka yeye (Lowasa) ama kwa vile inagusa Cheo/Ofisi ya Waziri Mkuu ambayo yeye alikuwa akiiongoza kwa...
  5. M

    Kibaki was forced!

    Suala la Kenye ni gumu sana. Huwa najiuliza, hivi ni kweli mtu (kama hawa Kibaki na Odinga), ni kweli wana machungu ya kuiongoza Kenya kwa nia njema ama kwa manufaa yao wao wenyewe? Na huyu Kibaki jamani, si alishakaa hiyo miaka mitano inatosha sasa, angeachia madaraka uchaguzi urudiwe na...
  6. M

    In DEFENCE of LOWASSA (Warioba & Butiku on it)

    Binafsi, Sio mwana Siasa na wala si Mwanasheria. Simtetei Lowasa hata chembe, na wala siikatai Ripoti ya kamati ya Bunge ikiongozwa na Dr. Mwakyembe (sijui nimepatia spellings?). Hongera zao kubwa sasa sana kwa TRANSPARENT waliyoonyesha, hasa pale walipoweka wazi hata ule ushahidi uliotolewa...
Back
Top Bottom