Tarajali ni kipindi ambapo wafanyakazi hupokea mafunzo ya kazi chini ya uangalizi maalumu katika shirika ama kampuni fulani kwa kipindi cha muda fulani ili kupata uzoefu utakao muongezea thamani katika kazi yake ili apate soko katika ajira kirahisi.
Hapa tanzania tuna taasisi inayowasaidia...
Mi licha ya kua nimeandika anuani ya utumishi kwenye barua ya kuombea kazi rti nakuja kuambiwa kua nimekosea address na sijaituma utumishi, nilichoka sana na hua naacha anuani untouched since nimeiandika vizuri tu
kila mbinu utakayoijaribu haitofanikiwa, hata kama itakua na mafanikio hayatakua ya kudumu, na kwa bahati nzuri kama wenzangu walivyosema kua ukombozi upo kwa Yesu kristu peke yake, hence there is no any other way out
Jambo la muhimu kabla ya ndoa ni kujibadili na kua mume bora au mke bora, na hivyo kuingia ndani ya ndoa mkiwa tayari kila mmoja amejikana kwa mambo ambayo si ya msingi na hivyo hela, mapenzi na vingine ni nyongeza tu lakini main focus ni kukubali kujikana kwa tabia unazojua ni mbaya kila mmoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.