Mkuu naomba nikuulize kwa rasimu hii ambayo nawe umeisoma pia government officialls wameipitia wakaisoma wakaielewa wakaweka initials zao, ingekuwa na wewe ni mwenye mamlaka ungeipitisha kama mkataba baina yetu na hao Barrick?
Huyu jamaa paskali anaongea kusifia ila mantiki yake ni anaponda, ni kama vile MTU akuambie jamaa yangu wew msafi, lakini ukijicheki ni mchafu halafu jamaa anazidi kukazania msafi sana wewe, very smart
Kwa yeyote anayetaka mayai ya kisasa Trey moja Tsh 8500 tuwasiliane kwa pm Mimi nipo Arusha . utaratibu unaweka order cku mbili kabla ili niweze kusanya mayai yote kwa kiasi unachotaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni lazma kumlaumu ...mzalendo kweli kuongea hata kama hana maamuzi ya mwisho.........alidaidia nini taifa kipindi hicho sasa awe mzalendo .........tafakari mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mfano madini mtanzania kama Mimi na wewe utaanza vipi kuisapoti nchi yako au utatoa vipi hata msaada wa mawazo kwa nchi yako ili hali haufahamu hata mkataba mmoja serikali na hayo makampuni ya nje? Serikali inajua fika kabsa madhara ya kuvunja au kwenda kinyume na hyo mikataba yao ya siri...
Tulikuwa tunapaita pond bwawani pale........kipind tunaondoka mkuu Chungu alikuwa anatengeneza visima vya kuvuna maji ya mvua. Kwani wameweka maji ya bomba sasa
Isitoshe kuna Fazaa wa jikoni mpishi namkumbuka sana ......au kwa mama kijogole sijui pale mnyampala
Sent using Jamii Forums...
Akya Mungu Mimi hapa Mimi haswaa sipimi hata unishikie bunduki kichwani ......!, kuna docta mmoja fala fala Fulani kidogo angeniua maabara ..yaani Mimi nimeenda Pima malaria yeye na ukichaa wake akajumlisha na kipimo cha HIV nilitaman kumtafuna ........ila pimeni wakuu inakufanya unakuwa makini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.