Tanesco Kisarawe wang'oa nyaya za umeme minaki

kabanga

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
37,204
18,472
Alhamisi mvua kubwa ilinyesha kisarawe ikiambatana na upepo mkali uliodondosha miti na nyaya katika shule ya minaki hasa ktk maeneo ya nyumba za walimu, tanesco kuitwa wakakata miti kisha wakanyofoa nyaya nakuondoka nazo bila kusema neno. Tukifanya mawasiliano wanasema wanakuja leo ni siku ya 5 hakuna umeme...
 
minaki=st andrews.kighoma malima alishinikiza kunjengwa msikiti kwenye compund ya shule.
 
Ndio utendaji wa mashirika yetu mkuu,halafu wanataka ruzuku toka govt!customer care burekabisa!cha muhimu ccm itoke!!!
 
pakp vile vile na tumeshasahu kama kuna maji kutoka kwenye lile bwawa....
Tulikuwa tunapaita pond bwawani pale........kipind tunaondoka mkuu Chungu alikuwa anatengeneza visima vya kuvuna maji ya mvua. Kwani wameweka maji ya bomba sasa



Isitoshe kuna Fazaa wa jikoni mpishi namkumbuka sana ......au kwa mama kijogole sijui pale mnyampala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikuwa tunapaita pond bwawani pale........kipind tunaondoka mkuu Chungu alikuwa anatengeneza visima vya kuvuna maji ya mvua. Kwani wameweka maji ya bomba sasa



Isitoshe kuna Fazaa wa jikoni mpishi namkumbuka sana ......au kwa mama kijogole sijui pale mnyampala

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona faza wa jikoni amefariki kama miaka 2 hivi nyuma....? visima vya mvua vipo na kuna mabomba kutoka kule pond japo hayatoi maji
 
Back
Top Bottom