Dodoma ndio maana ipo katikati ya Tanzania yaani popote inafikika bila tatizo.
Imagine ingekua Dar na wewe upo Kagera mpakani mwa Uganda na unahitaji kwa haraka 'medical attention' kwa upande wa fuvu lako. Daaah
40% ya taarifa humu ni uongo ndugu yetu Venus Star na kwasababu tayari mkuu Scars tayari ameshakuumbua kwa 20% basi ibaki ivyo nisichangie kitu maana nitapoteza maana ya 'thread' yako.
Sio mbaya umejaribu lakini kuweka picha nzuri za warembo na zitasaidia watu katika shughuli zao za baadae.
Unapozungumzia Demokrasia ni ile hali ya mtu kuchagua au kuchagulia, fairness, ulingo sawa wa kufanya shughuli za kisiasa, vyama kuwa na mchakato wa ndani wa kutafuta wawakilishi wao katika nafasi mbali mbali za uwakilishi katika levo tofauti tofauti za chaguzi.
Demokrasia ni uwanja mpana na...
Tatizo kubwa la wafuasi na wanachama wa vyama vya upinzani ni kutokupiga kura siku ya uchaguzi. Huwezi mkuta mfuasi/mwanachama wa CCM siku ya uchaguzi asiende kupiga kura.
CCCM wana wenyeviti wa mashina katika kila mtaa na kila mtaa una shina la CCM, wapinzani wanaanza kupigwa bao hapo kwenye...
Baada ya aliyekua CDF wetu kipindi cha mwenda zake na kuzungumza katika kumbukizi ya Hayati Pombe Magufuli najiuliza uyu Dokta yupo wapi kwa sasa?
CDF aliyepita kaongea mengi na yakufikirisha kwa mantiki ya viongozi kadhaa kutokujua katiba yetu inasema/inataka nini kwa tukio kama lile...
Wazee wenzangu nimerudi tena.
Here we go...betPawa code D4A23CD
Game zinaanza saa11 jioni hii.
Chambua, punguza timu labda ila kikubwa zaidi weka pesa yakutosha na umpige muhindi...wale wakongwe wenzangu wanajua kabisa ukila njoo utoe shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.