KAIMU MHANDISI MKUU WA KITENGO CHA UJENZI MANISPAA YA ILALA AWAJIBISHWA.
Kamati ya Fedha na Utawala ya Baraza la Madiwani la Manispaa ya Ilala, Jijini Dar es Salaam imemwajibisha Kaimu Mhandisi Mkuu wa Kitengo cha Ujenzi wa Manispaa ya Ilala Eng. Japhary Bwigane kutokana na utendaji kazi mbovu...
Hivi watanzania mnataka nn jamani? Mbebwe migongoni na raisi ndo muone serikali inafanya kazi, mshatunyonya sana na upandishaji wenu wa ada kiholela mmefanya shule kuwa biashara, hizo ada elekezi zitasaidia sana, tulipokuwa tunaelekea ada za nursery tu zingefika 5ml
Kwa kusema hivyo ni kama chadema imesaliti ukawa moja kwa moja, as far as i know chadema haikuwa na mgombea jimbo la segerea na hizo kura wangezihesabu kama kura zilizoharibika, kuhesabu hzo kura kama kigezo ni kusaliti ukawa na mtatiro.
Mbali na hivyo huyo dada amefanya kampeni za chini kwa...
Issue ya Annatropia watu walisema ni chuki binafsi, wako wapi? Jimbo la segerea limejaa watu wanajitambua na viongozi wanajua hilo, limemfuta uanachama Anna wanasubiri maamuzi ya ngazi za juu. Yule dada ni msaliti si suala la chuki ipo wazi kabisa.
Huyu dada atawavuruga chadema msipokuwa makini, wanachama wa segerea tena kwa wingi walikaa kwenye mkutano wa jimbo na kumvua uanachama na barua imefika makao, sasa akiendelea kukumbatiwa sioni mwisho mzuri wa ukawa segerea, na ccm wataitumia hii fursa vizuri sana. Something has to be done...
Hii issue ya segerea imezaa mpasuko mkubwa sana na viongozi wakichulia kawaida wataigawa segerea. Ofcourse sasa hv kuna team anna segerea na team ukawa wanaoamini Anna amesaliti ukawa kwa kufanya campaign zake binafsi na kumssuport bonah wa ccm. Annatropia haonewi wivu ila hali halisi ni kuwa ni...
Mkuu hii thread itafungwa muda si mrefu, mm tangia mchana naongelea machungu tuliyonayo kwa huyu dada kupewa ubunge zinafutwa.
Haingii akilini mtu aliyehujumu chama na ukawa anazawadiwa ubunge?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.