Udhaifu wa UKAWA umejidhihirisha segerea.

Udhaifu wa UKAWA umejidhihirisha segerea.

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
2,690
Reaction score
2,857
Wakuu, amani kwenu...
Sote tunakumbuka jimbo la segerea kwa upande wa UKAWA... lilikabidhiwa kwa chadema chini ya dada Anatropia kama mgombea ubunge..

Ila baadaye, lilikabidhiwa kwa CUF chini ya mtatiro. Ila kutokana na kutoelewana CHADEMA na CUF wote wakasimamisha wagombea iliyosababisha wagawane kura na mgombea wa CCM apite kirahisi

Sasa cha kushangaza ama kufurahisha Anatropia ameteuliwa kuwa kati ya Wabunge wa viti maalum.

Sasa kulikuwa na ulazima gani wa Anatropia agombee na mtatiro wakati mngeweza kuumpa ubunge wa viti maalum????

UKAWA hamkujipanga.
 
Mkuu hii thread itafungwa muda si mrefu, mm tangia mchana naongelea machungu tuliyonayo kwa huyu dada kupewa ubunge zinafutwa.

Haingii akilini mtu aliyehujumu chama na ukawa anazawadiwa ubunge?
 
Kama Chadema wanamreward Ubunge mtu aliyesababisha tukose jimbo wasubili hukumu yao, hatutowasamehe kwa hili tuombeane uhai tu.
 
CCM tangu lini wakawa washauri wa upinzani?

Huenda ninyi ndio mliotia rubuni majimbo yaliyokuwa na mkanganyiko kama Segerea...
 
CCM tangu lini wakawa washauri wa upinzani?

Huenda ninyi ndio mliotia rubuni majimbo yaliyokuwa na mkanganyiko kama Segerea...

Sio lazima kucomment saa nyingine unapita tu mkuu, shida na raha za segerea tunazijua wakazi wa segerea.
 
Back
Top Bottom